Marks ya chini kabisa ambayo ulishawai pata kwenye mtihani ni ngapi

stritglow

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
622
Reaction score
1,750
Mitihani ni part and parcel of the education system, kuanzia ngazi ya kindergarten mpaka chuo. Kiufupi haikwepeki.

So katika maisha yako ni marks gani ya chini kabisa ulishawai pata kwenye mtihani(iwe quiz, test au exam). Ilikuwa somo gani na level gani, yaani primary, secondary au chuo...
 
nilishawi kuingia test ya physics nikaona pepa halieleweki nikaandika jina la kike...

nilikuja kupata 39..nilikuja kujulikana kwa mwandiko maana mwalimu ananijua vizuri.
 
99.
 
nilishawi kuingia test ya physics nikaona pepa halieleweki nikaandika jina la kike...

nilikuja kupata 39..nilikuja kujulikana kwa mwandiko maana mwalimu ananijua vizuri.
Jina gani uliandika?
 
Naona wanaojibu hapa ni watu wa Sayansi tu....

Mimi mwandiko la Kwanza A, nilipata 5/10 ....nililia sana siku ile...
yaani unapata 5 out of 10 unalia kweli wewe ulikuwa kipanga.

mimi std one nilienda shule sasa ticha wa hesabu akanipa exercise bhana nikaifanya kumaliza akaisahisha...

kwenye kusahihisha akawa anaweka yale makosa ya kama unapiga mstari..mimi nikajua nimepata yote kumbe nimkosa yote.Nilipofika nikamwonyesha mzee....alinipa kelebu ya haraka hadi nikajua kufaulu dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…