Marks ya chini kabisa ambayo ulishawai pata kwenye mtihani ni ngapi

Marks ya chini kabisa ambayo ulishawai pata kwenye mtihani ni ngapi

nilishawi kuingia test ya physics nikaona pepa halieleweki nikaandika jina la kike...

nilikuja kupata 39..nilikuja kujulikana kwa mwandiko maana mwalimu ananijua vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 zero sifuri mviringo, kuna somo wakati nipo form 1 linaitwa additional mathematics, Ile nmetoka kuoga na washkaji zangu wawili tukaona monitor anagawa mitihani, nlipewa mitihani Wangu kwakweli nlisononeka, mviringo ule sikuwatendea haki wazazi wangu waliokua wanalipa ada ndefu ili mtoto wao nisome bila bugudha, anyway imebaki stori form 4 nlipita fresh nkatoboa fresh form 6 eca, kwa sasa nna degree ya uhasibu na Cpa
 
Mm nakumbuka nilikuwa na mfundisha bakhresa lkn now ananifundish maan ya pesa
 
Mitihani ni part and parcel of the education system, kuanzia ngazi ya kindergarten mpaka chuo. Kiufupi haikwepeki.

So katika maisha yako ni marks gani ya chini kabisa ulishawai pata kwenye mtihani(iwe quiz, test au exam). Ilikuwa somo gani na level gani, yaani primary, secondary au chuo...
17 ya BAM sio mchezo mchezoooo
 
Back
Top Bottom