Teh teh teh teh teh...you made my night wanasemaga....Mie paper ilikuwa kama halieleweki nilikuwa sikusanyi alafu siku ya kugawa mwalimu akimal7iza tu kugawa najitokeza nasema sijapata
Asante. Nishapoa mwayaaseeh pole aseeeh
unaniita mwaya kweli!...Nitafutie jina lingineAsante. Nishapoa mwaya
Nisamehe dear![emoji12]unaniita mwaya kweli!...Nitafutie jina lingine
hahahaha ulimchana live live??Kuna siku sitoisahau teacher wa geog aligawa peper za wanafunzi wote class yangu ikawa ya mwisho mwisho
Akanambia
"Lucas you are lazy bastard" mbele ya crash nili mmind mno nikamfata ofisini nikamchana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma shule za kidosi...yaani unapata 5 out of 10 unalia kweli wewe ulikuwa kipanga.
mimi std one nilienda shule sasa ticha wa hesabu akanipa exercise bhana nikaifanya kumaliza akaisahisha...
kwenye kusahihisha akawa anaweka yale makosa ya kama unapiga mstari..mimi nikajua nimepata yote kumbe nimkosa yote.Nilipofika nikamwonyesha mzee....alinipa kelebu ya haraka hadi nikajua kufaulu dhambi.
Maana namba ya viatu unaiona hiyooo alafu unakusanya yaani bora tu nizue sintofahamu na taharuki kwenye jamiiTeh teh teh teh teh...you made my night wanasemaga....
Yeah akaniomba msamaha nikasepagaha
hahahaha ulimchana live live??
AiseeNilipata 1 paper ya hesabu form two nashukuru wastani ulitimia na kuvuka!
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuhNaona wanaojibu hapa ni watu wa Sayansi tu....
Mimi mwandiko la Kwanza A, nilipata 5/10 ....nililia sana siku ile...
hahahaha ulitisha sana mkuuYeah akaniomba msamaha nikasepa
Ila sahivi tunapatana sana tunachat FB
Sent using Jamii Forums mobile app