Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Dah! Hatari sanaMwamba kapasuliwa Spika bila shuruti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Hatari sanaMwamba kapasuliwa Spika bila shuruti
Jipe moyo.Story za vijiweni,Jela haipo mnavyoiandika hapa
Kamanda, hawez tena kupiga mluzi huku kachuchumaa.Jipe moyo.
ACHA kumdhalilisha jamaa.Kamanda, hawez tena kupiga mluzi huku kachuchumaa.
ulishawahi kuingia huko au umehadithiwa?Labda ukiwa mlafi unapenda vitu vizuri otherwise kuna heshima ....na kusaidiana sana......uwe na hela kdg utaishi vzr.....
Wewe bado hujaingia ??? Hujakamilika badoooulishawahi kuingia huko au umehadithiwa?
Amelegea sana huyo
Acheni kumzushia huyu Dogo uongoMwamba alifanya soo kitaa akapelekwa jela KISONGO wakampiga para. Hana hamu na jela Tena.
NB: jela haina mbabe kama wahuni wametambaa na mwamba Sura ya kazi sembuse vijana wanaoshinda kwenye AC wanaendesha Dualis sijui IST?
NB: Tii sheria bila shuruti.
View attachment 2783305
Hakufungwa alipata dhamana instantly kutoka kwa Madam Ritha na Fido VatoKumbe alifungwa?
Sawa mkuuHajufungwa alipata dhamana instantly kutoka kwa Madam Ritha na Fido Vato
Jela za africa ndio kuna upuzi wakufumuana marindaInaonekana mwamba sio riziki tena , jela hakufai