Markuba Majanaba Hana hamu na jela

Labda ukiwa mlafi unapenda vitu vizuri otherwise kuna heshima ....na kusaidiana sana......uwe na hela kdg utaishi vzr.....
 
Amelegea sana huyo
Acheni kumzushia huyu Dogo uongo

Dogo alipelekwa Polisi kwa kosa la kumlenga Mtu na jiwe by mistake na akamdhuru...kesi iliendeshwa na kabla ya kufungwa Madam Ritha na yule Msela mwingine wa Arusha FIDO VATO wakachanga hela na kumtoa palepale

Kama anatangaza mambo ya jela anatafuta tu kiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…