Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu hii ilifanyikia Arusha, na ilikuwa nzuri sana!~
Bado nawashangaa waandaaji ambao walikuwa wachache sana, lakini walifanya kitu kilichoenda shule, na kwa hakika kitabakia kwenye kumbukumbu za wengi kwa muda mwingi ujao!
Tunawatakia kila la heri katika maisha yao mapya!
Samahani sana Wajamani.
Mie huyu jamaa huwa namkumbuka kwa wimbo huu tu hapa chini.....
Sidhani kama ntakuwa FAN wake tena..............
Nina imani WATAMCHAKACHUA na yeye ili awajue CCM ni nini......
Atafugika sababu yeye si kunguru. Kajamaa katafaidi huo mzigo kinoma
Mkuu kumbe wewe maisha yako yanalalia kwenye chama mtu kama si chadema huingei nae, duka ukichua si la mwana chadema hununui vitu n.k
Bora ukaishi zanzibar au somalia
Hahah huyu totoz nilimtongozaga few years ago kabla hajaanza kuwa mwana bongo fleva jibu alilonipa nikaingia mitini..Kuna mtu mmoja humu JF namlaumu daima kwa kunibania huyu totozi back then.....poa tu