Bado yumo!Ameachishwa kazi TEETH?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado yumo!Ameachishwa kazi TEETH?
Nimekutumia mpenzisasa mbona hujibu sms switt hat?? nitumie bs acc no yako ya bank nikamilishe muamala
Demu anachoo yule na jicho la mkonyezo kwahiyo mkuu unataka niamini kila mwanaume aliye fanikiwa kuna mwanamke shupavu nyuma yake kwa jamaa ikawa kinyume chake.Ukioa demu kama yule lazima usahau na kuacha kila kitu ubaki tu nyumbani unamlinda!!
Kuwazalisha mfulululiza(back to back) ndio dawa yao mkuu.Ila jamaa sijui katumia mbinu gani kumtuliza Besta manake,wanawake wenye mishepu kama ya Besta plus umaarufu wengi wao ni wasumbufu kwenye ndoa.
Asante Kwaio nije wapi sasa Tuonane?Marlaw ana sauti nzuri sanaaaa huyu kaka uwiii, toka zamani mimi shabiki sanaaa. Marlaw karibu tenaa
Ni upside down za hapa na pale baby wangu, na ndizo zinanifanya niingie JF mara chache sana, na wakati mwingine kutoingia kabisa!! Sasa baby mbona hukuja basiBaby, ulikuwa wapi lakini? Leo hii nilikuwa nafikiria kukufuata kwako
mnhh umepooza...
Daah mwanang huyu Dem mnamfukuzia wangapi?Ni upside down za hapa na pale baby wangu, na ndizo zinanifanya niingie JF mara chache sana, na wakati mwingine kutoingia kabisa!! Sasa baby mbona hukuja basi
Huyu jamaa sijui alipatwa na nini alipaa akazima ghafla yaani huyu ndio alikuaga ana trend kama diamond kipindi kile yani wadau kuna anaejua alipatwa na nini?
Kwann Besta mjinga?Huyu ni msanii hasa.. Hakuna wimbo wake haujawahi acha niteka..
Sema kaoa mke MJINGA.