beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Marlaw ni msanii wa Kiume ninayemkubali sana hapa Tanzania aisee maana anajua sana kuimba anajua kupanga mashairi yake aiseee huyu mwanaume, na wala hana makuu kabisa
Sasa hebu angalia na sikiliza hizi nyimbo mbili alizoachia hivi karibuni ya ‘Taa’ na ‘Baraka’ yaani bora amerudi kwenye game japo sio kwa kishindo kikuu ila mimi roho yangu kwatuuu sana kwa sasa.
Mimi hapo nimependa nyimbo zote ila zaidi mahadhi ya Baraka yamenikosha aisee, huyu Mwanaume anajua sana. Yaani ni msanii ninampenda sana
Unajua huyu sio kama akina Diamond ambao wanatafuta kiki sijui wanajibu watu wanafanya hivi ndio atoe wimbo, kitu kinachofanya hadi sasa hiyo ndio iwe trend yaani mtu anatafuta tukio ndio atoe wimbo
Marlaw wewe unajua sana. Usiondoke tena kwenye game sasa ukatukosesha utamu mashabiki wako
Sasa hebu angalia na sikiliza hizi nyimbo mbili alizoachia hivi karibuni ya ‘Taa’ na ‘Baraka’ yaani bora amerudi kwenye game japo sio kwa kishindo kikuu ila mimi roho yangu kwatuuu sana kwa sasa.
Mimi hapo nimependa nyimbo zote ila zaidi mahadhi ya Baraka yamenikosha aisee, huyu Mwanaume anajua sana. Yaani ni msanii ninampenda sana
Unajua huyu sio kama akina Diamond ambao wanatafuta kiki sijui wanajibu watu wanafanya hivi ndio atoe wimbo, kitu kinachofanya hadi sasa hiyo ndio iwe trend yaani mtu anatafuta tukio ndio atoe wimbo
Marlaw wewe unajua sana. Usiondoke tena kwenye game sasa ukatukosesha utamu mashabiki wako