MARLAW mzee wa kiduku aachia website ya ukweli sana

Sidhani kama kilichomtoa kwenye game ni siasa! Unajua muda mfupi baada ya uchaguzi mkuu; Marlaw alifunga ndoa na Besta na baada ya hapo; wote wawili; Marlaw na Besta hawakusikika tena kwenye game! Nadhani waliamua kutulia kwenye ndoa badala ya kuwa kwenye ndoa na hapo hapo kuwa kwenye muziki... in short; walitaka kuwa off-radar for the sake of their marriage!
 
Right.
 
vip bado ipo
 
Fursa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…