Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada
Biashara ya madini ya RUBY kutoka MOZAMBIQUE ndio iliyo mtoa.
 
Daah, Gari zangu mbili za ndotoni anazo huyu jamaa.

One day yes! Only God knows!
 
naona mnamjadili kidumee mwenzenu,hongeren Sana hii ndo Tanzania buana
 
Kama sio kuuza unga,atakua jambazi huko south,na kwa utawala huu huenda hayupo nchini alishakimbia tayari
Yupo jana nimepishana na hiyo jeep nyeusi mitaa ya sinza kijiweni
 
Acha ainjoy but kwangu kijana wa maana ni Harun Elias owner wa Javis international.
 
mbona hizo plety number siyo za nchi hii
 
Uyoo jamaa namfahamu ni broker wa magariii......Pia amekomaaa hamuoniii.
 
Duh uyo balaa ila forbes africa siwaaminigi sana hawa kina mfonobong takwimu zao nyingi mabumashi
Hao Forbes Africa nao ni kama ccm tu!! Takwimu zao huwa ni za kukaanga kisha wanatubandikia kwenye li website lao pumbavu zao!!

Eti juzi naangalia list ya promising entrepreneurs 2018 mara namuona Idriss Sultan nae ndani, eti wanasema ana networth ya $400,000 alafu mwaka Jana tu pekee yake amaingiza zaidi ya $70,000 kupitia ile brand yake ya viatu iliyoifungua yeye na Wema sepetu. Sijui taarifa zao huwa wanatoa wapi

Kiukweli hao forbes africa ni wataalamu wa kufanya assumptions kuliko hata TRA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…