Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

sasa hapo hata platinum si anaonekana mkatika viuno tu kwa huyo Jamaa...mbona kuna watu wengi wana mawe mnooo zaidi ya platnum na wapo Kimya tu '' vijana wadogo wamejenga maghorofa k.koo...

daaahhh sema huyo Jamaa katisha "" aisee
 

acha ubinafsi na roho mbaya wanao wasiporithi mali nani unatka arithi? au ndyo ile staili ya "kwa kuwa mi nimesota sana wacha na wao wasote"
 
Na picha tu don’t mean shit!

Wengi tu wanaweza kupiga picha na magari.

Kupiga picha na magari haimaanishi ndo unayamiliki.

Heck, hata kuendesha tu gari haimaanishi ndo unalimiliki.
NN hapa umeyumba ....siwaona mpka usajili wa hayo magari plate number zake zina majina gani ??
 
Kiasi watanzania tusiende mbele kimaendeleo,bila hata watu kumjua huyu dogo tayari wameshaijua kazi anayofanya,tayari wameshampa jina la muuza unga,...kesho kutwa polisi watakwenda nyumbani kwake kumpekua kama hawajamuona na kitu watamuwekea kidhibiti,ndio maisha ya Dogo yatakuwa yamemalizia hapo,,,,juhudi zake zote za kupambana ndio zitakuwa zimemalizika na kusahaulika..!!

Kwanini Watanzania tuko hivi,kuanzia Raisi wetu mpaka mtanzania wa maisha ya chini kabisa mawazo yetu yanafanana,tuko na chuki,wivu,choyo,uhasidi..!!

kwanini hatumuombei tu huyu Dogo azidi kufanikiwa,tujiombee na sisi vile vile tufanikiwe ili tusonge mbele katika masiha yetu ya kawaida pamoja na tunaowapenda zikiwemo na familia zetu
 
mbona picha za kitambo sana
 
Usibishe sasa huyo mtu wengine tumeanza mjua toka enzi za Vasco da Gama!..Nyie wakuja na kulalamika 'maigizo' kaeni kimya kuna watu wanalijua jiji kabla yenu!..
hahaaa"""
 
naona gari zake zimeandikwa GP=Gauteng province south hiyo mzeebaba hapo ngada lazima inahusika..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…