Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ndoa Kwa wenzetu wenye I.Q kubwa sio kama vile tuzaniavyo sisi huku afrika, kwao ndoa huwa zinaenda au huwa na malengo ya ndani zaidi, ambayo pengine ni ya kitabia, akili za familia fulani na kadhalika.
Mimi binafsi katika kufuata logic hii niliangalia mapungufu yaliopo ndani ya familia yetu kwa ujumla nilichogundua ndani ya familia yetu life span ya vizazi na vizazi walikuwa hawafikii umri wa miaka 45 na wakizidi sana basi hufikisha miaka 50.
So baada ya kulidadisi hili kwanza nilivunja kanuni Kwa kuoa binti kutoka mbali na mkoa wangu, pili nilikagua life span za koo zake na kujiridhisha lifespan yao Kwa kizazi chao ni above 90yrs.
Je, wewe ndugu yangu uliangalia lipi ili ku-balance mapungufu ambayo huwa hayakosekani katika familia zetu, au uliangalia tu mzigo na urembo?
Mimi binafsi katika kufuata logic hii niliangalia mapungufu yaliopo ndani ya familia yetu kwa ujumla nilichogundua ndani ya familia yetu life span ya vizazi na vizazi walikuwa hawafikii umri wa miaka 45 na wakizidi sana basi hufikisha miaka 50.
So baada ya kulidadisi hili kwanza nilivunja kanuni Kwa kuoa binti kutoka mbali na mkoa wangu, pili nilikagua life span za koo zake na kujiridhisha lifespan yao Kwa kizazi chao ni above 90yrs.
Je, wewe ndugu yangu uliangalia lipi ili ku-balance mapungufu ambayo huwa hayakosekani katika familia zetu, au uliangalia tu mzigo na urembo?