Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Nahisi hapa tatizo ni hili neno UNAFIKI
watu limewauma kwani mmelielewaje??
 
mi yangu macho leo two years in ndoa yangu hayo tu...!!
 
ndoa ni kama maisha tu yalivyo , kuna mazuri yake na changamoto zake........

ukiingia kwenye ndoa na ukatamani kutoka kwasababu ya changamoto unakuwa huna tofauti na mtu anayetaka kufupisha maisha yake kwa kujiua.

hamna jambo lolote kwenye maisha lisilokuwa na changamoto , kazini kunachangamoto nyingi lakini tunakomaa.

ukifanya biashara kuna changamoto nyingi sana lakini tunakomaa kuelekea kilele cha mafanikio.

na mara nyingi kwenye mambo mengine huwa tunafanikiwa kwasababu ya ile heshima ya tunachokifanya , tofauti na ndoa ambayo hatuiheshimu basi kutwa zinakuwa majanga tupu humu mjini.

ndoa ziheshimiwe na huwezi kusema umeshindwa kabla ya kujaribu. (hii ni sawa na kuacha kusoma kisa asilimia kubwa ya wanafunzi wanafeli)
 
Almost 30 yrs ago nilikuwa na view ya ndoa kama mleta mada anavyoziona. Nilichukia ndoa na wanaume niliamua kusoma sana . Niliona shangazi yangu akiuwawa na mme wake, niliona majirani kila siku usiku wanapewa kichapo lakini asubuhi wanasmile. Niliona vimada wakija kutukana wake za wenyewe. Niliona wamama wakitupiwa watoto wa waume zao na wakilea. Niliona mengi mabaya ya ndoa na iliniaffect sana kisaikolojia hata nilikuwa nikiona wanandoa wanapendana nilijua after 5 yrs wataanza kudundana tu! Ila kuna kitu kimoja nilimuambia Mungu pamoja na kuchukia ndoa sitakaa niwe na mme kwa kuwa sitaki mwanamke mwenzangu aumie. Nilibahatika kwenda kusoma nje nikakutana na mmama wa kizungu mzee wa 80yrs nikamuuliza kama anafuga mbwa alinijibu no. i have a lovely family! So nikajua loneliness inafanya watu wapende wanyama.

Umri ulienda wadogo na marafiki zangu waliolewa nikaanza kuona ninapokwenda sio. Nikiona marafiki zangu wa kizungu wanafuga rabbut, guinea pig au mbwa yote hii ni loneliness mmoja aliniambia kama angerudisha miaka nyuma angeolewa na kuzaa! So since nilianua kutulia sikuwa mapepe niliolewa na babu .com na mpk leo si regret kuolewa. My hubby ndio my best friend hasa umri huu ambao kila mtoto yuko kwake. Tukiamua tunalala sitiing room. Tukiamua tunalala kwa hotel. Tukiamua tunaexplore ulimwengu kwa kwenda nje ya nchi.

Ndoa ni nzuri sana na iheshimiwa. Ukiona ndoa nu mbaya jaribu usingle especialy 46 and above unless uwe ni mjane hiyo inaeleweka

[h=2]Post-traumatic Stress Disorder(PTSD).[/h] When in danger, it's natural to feel afraid. This fear triggers many split-second changes in the body to prepare to defend against the danger or to avoid it. This "fight-or-flight" response is a healthy reaction meant to protect a person from harm. But in post-traumatic stress disorder (PTSD), this reaction is changed or damaged. People who have PTSD may feel stressed or frightened even when they're no longer in danger.

PTSD develops after a terrifying ordeal that involved physical harm or the threat of physical harm or threats of imminent death that result in feelings of intense fear, horror, and powerlessness. The person who develops PTSD may have been the one who was harmed, the harm may have happened to a loved one, or the person may have witnessed a harmful event that happened to loved ones or strangers.

PTSD was first brought to public attention in relation to war veterans, but it can result from a variety of traumatic incidents, such as mugging, rape, torture, being kidnapped or held captive, child abuse, car accidents, train wrecks, plane crashes, bombings, or natural disasters such as floods or earthquakes.

Many people who go through traumatic events have difficulty adjusting and coping for a while, but they don't have PTSD - with time and good self-care, they usually get better. But if the symptoms get worse or last for months or even years and interfere with your functioning, you may have PTSD.
 
Almost 30 yrs ago nilikuwa na view ya ndoa kama mleta mada anavyoziona. Nilichukia ndoa na wanaume niliamua kusoma sana . Niliona shangazi yangu akiuwawa na mme wake, niliona majirani kila siku usiku wanapewa kichapo lakini asubuhi wanasmile. Niliona vimada wakija kutukana wake za wenyewe. Niliona wamama wakitupiwa watoto wa waume zao na wakilea. Niliona mengi mabaya ya ndoa na iliniaffect sana kisaikolojia hata nilikuwa nikiona wanandoa wanapendana nilijua after 5 yrs wataanza kudundana tu! Ila kuna kitu kimoja nilimuambia Mungu pamoja na kuchukia ndoa sitakaa niwe na mme kwa kuwa sitaki mwanamke mwenzangu aumie. Nilibahatika kwenda kusoma nje nikakutana na mmama wa kizungu mzee wa 80yrs nikamuuliza kama anafuga mbwa alinijibu no. i have a lovely family! So nikajua loneliness inafanya watu wapende wanyama.

Umri ulienda wadogo na marafiki zangu waliolewa nikaanza kuona ninapokwenda sio. Nikiona marafiki zangu wa kizungu wanafuga rabbut, guinea pig au mbwa yote hii ni loneliness mmoja aliniambia kama angerudisha miaka nyuma angeolewa na kuzaa! So since nilianua kutulia sikuwa mapepe niliolewa na babu .com na mpk leo si regret kuolewa. My hubby ndio my best friend hasa umri huu ambao kila mtoto yuko kwake. Tukiamua tunalala sitiing room. Tukiamua tunalala kwa hotel. Tukiamua tunaexplore ulimwengu kwa kwenda nje ya nchi.

Ndoa ni nzuri sana na iheshimiwa. Ukiona ndoa nu mbaya jaribu usingle especialy 46 and above unless uwe ni mjane hiyo inaeleweka

asante sana bibi.com ujana unawasumbua hawa mabinti tamaa za miili zmewakaba wanaona kuolewa ni utumwa lakn najua mda utafika pale makunyanzi yanatakapoanza kuota uson na mapajan na hawatawaona tena wanaume wa kuwapa kampan,hatamuona tena mtu wa kumliwaza hapo ndipo majuto anazaliwa na kuwa mjukuu wao. Zile sentensi shurutia ndipo ztakapoanza kutamkwa...... Ninge''
 
Last edited by a moderator:
ndoa ni kama maisha tu yalivyo , kuna mazuri yake na changamoto zake........

ukiingia kwenye ndoa na ukatamani kutoka kwasababu ya changamoto unakuwa huna tofauti na mtu anayetaka kufupisha maisha yake kwa kujiua.

hamna jambo lolote kwenye maisha lisilokuwa na changamoto , kazini kunachangamoto nyingi lakini tunakomaa.

ukifanya biashara kuna changamoto nyingi sana lakini tunakomaa kuelekea kilele cha mafanikio.

na mara nyingi kwenye mambo mengine huwa tunafanikiwa kwasababu ya ile heshima ya tunachokifanya , tofauti na ndoa ambayo hatuiheshimu basi kutwa zinakuwa majanga tupu humu mjini.

ndoa ziheshimiwe na huwezi kusema umeshindwa kabla ya kujaribu. (hii ni sawa na kuacha kusoma kisa asilimia kubwa ya wanafunzi wanafeli)
NANI KASEMA KASHINDWA? Mimi hiki ndio kilio changu KARATA ZOTE ZIWEKWE MEZANI! Soo ku dress dress facts na kipindisha ukweli kulaghai kwamba ONE SIDE IS GREENER THAN THE OTHER!
 
[h=2]Post-traumatic Stress Disorder(PTSD).[/h] When in danger, it?s natural to feel afraid. This fear triggers many split-second changes in the body to prepare to defend against the danger or to avoid it. This ?fight-or-flight? response is a healthy reaction meant to protect a person from harm. But in post-traumatic stress disorder (PTSD), this reaction is changed or damaged. People who have PTSD may feel stressed or frightened even when they?re no longer in danger.

PTSD develops after a terrifying ordeal that involved physical harm or the threat of physical harm or threats of imminent death that result in feelings of intense fear, horror, and powerlessness. The person who develops PTSD may have been the one who was harmed, the harm may have happened to a loved one, or the person may have witnessed a harmful event that happened to loved ones or strangers.

PTSD was first brought to public attention in relation to war veterans, but it can result from a variety of traumatic incidents, such as mugging, rape, torture, being kidnapped or held captive, child abuse, car accidents, train wrecks, plane crashes, bombings, or natural disasters such as floods or earthquakes.

Many people who go through traumatic events have difficulty adjusting and coping for a while, but they don't have PTSD ? with time and good self-care, they usually get better. But if the symptoms get worse or last for months or even years and interfere with your functioning, you may have PTSD.

Asante doctor.
 
hewalaa tuko pamoja kabisa,kash kash za ndoa hazitufanyi tuseme ndoa ni Unafiki,wala mwanandoa mmoja akikosea hatuwezi kusema wote ni wanafiki,Eva alichokifanya ilitokana na Udhaifu wa Adam kumwacha pekeyake,hyo haitufanyi kusema ni Unafiki kwanza hata hakuwepo wakat Mungu anampa maagizo Adam,kila jambo alipandalo mtu lazima avune,lakini hatuwez kuhukumu kwamba ndoa ni unafiki, tusemeje juu ya mke wa Ayubu? Mfalme Suleiman? Vip Jacob kwa Lea na Rahel? Wote hawa ni wanadamu wana madhaifu yao lakini hayatufanyi tuseme ni ndoa zao ni unafiki,ndoa kama ndoa haina shida wanadam waundao ndoa ndo wenye shda.

Tafsiri hizo za maandiko ni za wanadam,tunachojua walikatazwa wasile tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya,vipi andiko la msinyimane mmepewa kupatana kwa muda je ndo tuseme uzinzi ruksa?

Maisha yoyote yale hakuna tambarare,kukomaa ni muhimu,ndoa yenyewe ukibweteka mieleka kama kawa.
Hpanaaaa! Hapo tunapotofautiana MNAPOANZA KUGHILIBU KUWA ONE SIDE IS ALWAYS GREENER THAN THE OTHER! Hapo saaa ndo mnakuwa WANAFIKI KUFICHA UKWELI KWAMBA AS LONG AS PANDE ZOTE KUNA BINADAMU CHANGAMOTO NI CONSTANT!
 
Almost 30 yrs ago nilikuwa na view ya ndoa kama mleta mada anavyoziona. Nilichukia ndoa na wanaume niliamua kusoma sana . Niliona shangazi yangu akiuwawa na mme wake, niliona majirani kila siku usiku wanapewa kichapo lakini asubuhi wanasmile. Niliona vimada wakija kutukana wake za wenyewe. Niliona wamama wakitupiwa watoto wa waume zao na wakilea. Niliona mengi mabaya ya ndoa na iliniaffect sana kisaikolojia hata nilikuwa nikiona wanandoa wanapendana nilijua after 5 yrs wataanza kudundana tu! Ila kuna kitu kimoja nilimuambia Mungu pamoja na kuchukia ndoa sitakaa niwe na mme kwa kuwa sitaki mwanamke mwenzangu aumie. Nilibahatika kwenda kusoma nje nikakutana na mmama wa kizungu mzee wa 80yrs nikamuuliza kama anafuga mbwa alinijibu no. i have a lovely family! So nikajua loneliness inafanya watu wapende wanyama.

Umri ulienda wadogo na marafiki zangu waliolewa nikaanza kuona ninapokwenda sio. Nikiona marafiki zangu wa kizungu wanafuga rabbut, guinea pig au mbwa yote hii ni loneliness mmoja aliniambia kama angerudisha miaka nyuma angeolewa na kuzaa! So since nilianua kutulia sikuwa mapepe niliolewa na babu .com na mpk leo si regret kuolewa. My hubby ndio my best friend hasa umri huu ambao kila mtoto yuko kwake. Tukiamua tunalala sitiing room. Tukiamua tunalala kwa hotel. Tukiamua tunaexplore ulimwengu kwa kwenda nje ya nchi.

Ndoa ni nzuri sana na iheshimiwa. Ukiona ndoa nu mbaya jaribu usingle especialy 46 and above unless uwe ni mjane hiyo inaeleweka

Bibi .com KUPOINT KWANGU UHALISIA KWAMBA NO SIDE IS GREENER THAN THE OTHER HAKUNUFANYI NICHUKIE NDOA! Ila unafiki sio trade mark yanhu ndo maana nimesema LIVE! So kwanzamJISEMEE WEWE NAFSI YAKO BIBI.COM ULIKUWA UNACHUKIA NDOA USINIUNGANISHE TAFADHALIIII, MI NAWEKWA MJINI NA WANAUME UJUE.

Kwa hio na hao uliowataja juu NDOA ZAO ZILIKUWA NZURI SANAAAA I BET! Hahahaaaa! Si jambo la kucheka jamani!
 
asante sana bibi.com ujana unawasumbua hawa mabinti tamaa za miili zmewakaba wanaona kuolewa ni utumwa lakn najua mda utafika pale makunyanzi yanatakapoanza kuota uson na mapajan na hawatawaona tena wanaume wa kuwapa kampan,hatamuona tena mtu wa kumliwaza hapo ndipo majuto anazaliwa na kuwa mjukuu wao. Zile sentensi shurutia ndipo ztakapoanza kutamkwa...... Ninge''

Naona baada ya kutoa motivation umeona hazifanyi kazi umeresolt to THREATS! Hahaaaa!
 
Back
Top Bottom