Hahahaaa! Hata ukitia huruma WANAFIKI NDIOOO! Unafiki ndo uliwafanya MYASAHAU IN THE FIRST PLACE!
Tena anayekumbusha wenzie NDO MNAFIKI MKUBWA! Yake yote kayaweka in contorl au kujikosha tuuu! Hahahaaa!
Umenikumbusha tukiwaga kwenye kitchen party tunakaa familia, sasa anaanza Aunty kufunza, huku nyuma tunakanyagana na kukonyezana kwa unafiki wake! Mume hajibiwi wakati yeye mumewe anamchambua kama karanga, Mwanamke usafi, wakati yeye ana haugelo 3. Mambo ya ndani usiyatoe wakati akiuziwa mda huo huo atampigia kila mtu naacjika mwenzenu! Hahahaaa! USIPOMJUA ATAKUFUNGA KAMBA. Watu wasiomjua wanamuona wa maana si utani! Hahaaaa!
Baadae anaenda bi mkubwa, anachimba biti kabisaa watoto wabaya sanaa nyie nimewaona wifi anavofunda mnakanyagana, kukonyezana, na kudiscuss kila akiongea uongo! Sasa mimi mzazi wenu nimewazaa, na nitakua nawacheki ole wenu mnikanyagane au kukonyezana, mnajitafutia laana nawaambia! Hahahaaaaa! Tunacheka wote! Sikiza niwaambie wanangu, mimi mtu mzima nimeenda age navoenda KUJIKOSHA (maana huu ndo ukweli) pale inatakiwa mnisapoti kwa vigelegele na nini, au sio wanangu wenyewe! Mkikonyezana mi najisikia vibaya! Inawezekana NITADANGANYA NA KUJIKOSHA kama aunt yenu ila mzazi wenu ujue na natumia veto kuwaamuru mfanye amsha amsha! Ole wenu mniangushe! Hahaaa! Uzuri akishakubali anaenda kutoa shoo pale, na sisi tunaamsha! Basi baridaaaaa!