Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Kesho labda ufuturishe pilau saa 6 hivi.......
Mi ntakuwa mgeni nambari moja
Wewe tena rafiki....haina kuuliza iyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho labda ufuturishe pilau saa 6 hivi.......
Mi ntakuwa mgeni nambari moja
Ila nimeona una sehemu nyingi mpaka ufikie zamu yangu.........nitakuwa nshafungulia.....
mzima mdogo wangu, salama wewe?Dada yangu....mzima..?
Ngoja nikafwatilie nguo yangu ya sikukuu kwa fundi rafiki......Wewe tena rafiki....haina kuuliza iyo
Ungependa nianze kwako labda ili nijipange apa...
mzima mdogo wangu, salama wewe?
Hahaaaa hamna bwana......twende kama ilivyopangwa awali.....
Kwa hiyo utansubiri Hadi nifike ee mama....
Ngoja nikafwatilie nguo yangu ya sikukuu kwa fundi rafiki......
Eid bila nguo mpya hainogi, hasa ukiwa na uhakika wa kula pilau
Kabisa....hapa tunaenda haki bin haki.....
\\Huna jipya wewe ni yaleyale hakuna mtu anayetaka umaarufu kwako mimi ni maarufu kwa mke wangu hilo tu wewe huwezi kubadili mpango wa Mungu aliyeona ndoa ni kitu muhimu na wanandoa wanajua hilo.
Eti nini nasafiria nyota yako? nyota ya umalaya na ukahaba,kichwa ngumu ni safirie mimi ng`wana ong`wa kulwa!!!!!!! tehetehe
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
sometimes stress zinasababisha mtu kukomaa kuponda jambo ili moyoni mwake apate temporary relief.
CALM DOWN...
Kwa hiyo ukweli usisemwe?maisha si kuolewa au kuoa tu.. ndoa ina tabia ya unafiki kiasili
nimsaidie nini lara 1? kwani huyu mtoto hadi asaidiwe? she is matured, ana degree huyu mpaka cpa kapewa, keshafikia kiwango cha kupambanua baya na jema...
Mi wala sijashabikia jambo lolote.... Hoja ililetwa majuzi na mwenzetu ambaye yuko ndoani, akaeleza A to Z on what is IN, lakini lara 1 anaeleza anavyona yeye.
tusubiri akishaolewa maybe ataona utam na uchungu wa ndoa....
Mungu anipe nini wallah......asante sana
Huyu ataingizwa ndani sio kuolewa.
Anueonghaseyoooooooooooooooooooooooooo!
Kutokana na watu kusafiria nyota yangu any allegations against me nazijibu kwa thread! Siendi kwenye thread ya mtu maana nakujazia trafic, unapata umaarufu, saivi nakula jasho langu mwenyewe! Mtasnisamehe! Ruksa kuniita Lara 1, jibu nitakupa ila kwa nakijibu kwa thread yangu!
Okaya kwasababu huu mjadala bado unauza tuendelee nao mpaka utakapo acha kuuza.
SIFUTI KAULI MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION 101. Kwa hoja zifuatazo!
Ni institution ya kibinadamu automatically. Ule uana damu hauwezi katu kutenganishwa na UNAFIKI! Ni jadi tu ya wanadamu hio katika hood way kama kuwa senstivie, kuwa polite, au bad way kama kuchachua au kutaka mwenzio asikuzidi! EITHER WAY UNAFIKI NI UNAFIKI UWE MZURI AU MBAYA!
Ndoa ni part ya jamii TUNAMOISHI KILA SIKU, is not as if wanandoa mnakaa MARS afu wengineo waseja, single, mabachela wanakaa pluto useme huwezi kujua ya ndoani! Thbutuuuuuuu! Hao hao wanandoa ni watu ndugu, jamaa, marafiki, majirani unaiteract nao, wanatoa testimony, wanahanyaa hanyaa vikinuka humo humo kwenye jamii! So tunayajua uzuuuuuriiiiii!
(Kipengele hiki kimefutwa kwa maombi ya wengi kuwa kiliwakwaza, kuwanyima uhuru wa ku comment! na kuingilia mipaka ya kidini, na kuleta hisi za blasphemmy na Kwa kuweka hiki kipengele Nakuungamia Mungu wangu na nanyi ndugu zangu nilikosa mnoo, nilikosa mimi kurefer kule, nilikosa sanaa! Na nimefuta naomba mnisamehe na Mungu anisamehe pia.) Kishatoka tuendelee na mada!
Increased divorce rates, marriage councelling, maombi na mifungo, vikao vya ukoo, kutimka kwa mapatna, kuzaa na wanawake tofauti tofauti wakati mke unae ndani inaonesha jinsi gani HALI SI SHWARI na upepo unapoolekea siko! Ikiwa mambo ni SWARIIIIIIII ndani ya hio taasis mbona matemdo tuyaonayo kwenye jamii ni CONTRARY na ushswariii? MBA Married But Available mmeongezeka sanaaa siku hizi! Hadi mtu anaamua makusudikally kuzaa na mume wa mtu, na mume anakubali pasipo kushurutishwa na mtu yeyote! HYPOCRARICY KWA BAADHI YENU IMEANZA KUGEUKA CONSPIRACY! Kuzaa nje makusudi ni CONSPIRACY kabisaa hio! Kuiita HYPOCRICY NI UNDERSTATEMENT!
The bi.tch KARMA nae pia ni source ya hii HYPOCRICY! Hamna mtu ana oa au olewa ili aachike, no! I am the special one theory ambapo kila mtu anajiona special! Sasa KARMA ndo inaletaga mtafaruku na mitafutano kibaoo na ni moja ya michimbuko kuu la HYPOCRISY pale tu Mother KARMA anaamua kumsulubisha mmoja, na kumzidishia mmoja! Usiombe mwanaume ndo msalaba ukuhusu! Hulalaaaa! Plus KARMA ndo inasababisha watu expectations zao while they marry zisitimie kwa makusudi, au ziyumbe yumbe na kusababisha mwenye unmet expectations akumbwe na kigugumizi cha WHETHER TO REMAIN A LOOSER AND KEEP TRYING HARD OR WALK AWAY! Hapa watoto wa mjini sifa yenu kubwa ni KI WALK AWAY!
Siple equation! Ndoa = binadamu +binadamu, binadamu = unafiki (moja ya sifa wanyama wengine hawana) Hence UNAFIKI +UNAFIKI =??????????? Mi chichemiii!
Unafiki unaweza kukabiliwa kwa Kuu ignore, ku u confront, ku walk away, kujicomvise hauexist japo kona ya mwisho ya moyoni inajua upo, kuuzoea tu na kuufanya part ya maisha yako, kumuomba Mungu, ETC japo hivo voote haviondoi maina point kuwa UPO!
Na challange yetu wana wa adamu ni HOW BOLD ARE YOU? Je utaruhusu unafiki wa mwenzio ukutafunee nafsi till u walk away from 10 yrs of ya life? Je are you strong enough to turn a blind eye? Are you weak enough to give up everything for just few mistakes? Are you fast enough to change your fate? Are you powerful enough to influence conduct za mtu mwenye oblongata yake? HII SASA INATEGEMEA NTU NTU!
Viongozi wa dini mtanisamehe, na pia nitatubu binafsi kuitoa hii hoja kwa makwazo nitayo wapa! BUT IT IS WHAT IT IS!
Kubalini tu kuna baadhi yenu WMEJITAHIDI MNOO KUIPAKA MATOPE HII TAASISI KWA MATENDO YAO yasiyo ya kiungwana na imelipa! Hahaaa! Kuna mtu ofisin nilimwambia ujue unaipaka matope taasis akanijibu NANI MSAFI ASIE IPAKA MATOPE? Hahaaa! 0 remorse! Nikamwambia flani, akanijibu hujamjua tu, kachungulie sim ya flani! Hahahaaa! ONE MAN CAN MAKE A DIFFRENCE TRY TO BE THAT ONE MAN! Mmoja moja MAY BE, and i mean MAY BE mnaweza kurudisha lost glory! Ila hivi sasa aaaaah! People dnt even try wamekubali tu ku accomodate hypocrisy kama part ya package!
Ni kazi chafu ila ilinilazimu kuifanya! Leo ukijisikia kutukana tukanaaaa mpaka roho yako itakate isiingie Iddi na kinyongo! Afterall hio ndo silaha ya mnyonge! Ubishani wa hoja nitajibi!
THE FEAST TO KILL THE MESSENGER MAY BEGIN! Hahaaaaa!