Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Ngoja nikafwatilie nguo yangu ya sikukuu kwa fundi rafiki......
Eid bila nguo mpya hainogi, hasa ukiwa na uhakika wa kula pilau

Halafu huyu fundi Mrisho ana tabia mbaya ukifika hadi akuweke mwambie sitaki ivo rafiki..
 
Huna jipya wewe ni yaleyale hakuna mtu anayetaka umaarufu kwako mimi ni maarufu kwa mke wangu hilo tu wewe huwezi kubadili mpango wa Mungu aliyeona ndoa ni kitu muhimu na wanandoa wanajua hilo.

Eti nini nasafiria nyota yako? nyota ya umalaya na ukahaba,kichwa ngumu ni safirie mimi ng`wana ong`wa kulwa!!!!!!! tehetehe

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
\\

Hapo penye red panamhusu huyu mtu! Inaelekea anapenda sana kutembea na WAUME ZA WATU, ndio maana anahalalisha na vejiverse kwenye bible, ambavyo yeye mwenyewe anakiri kuwa wahusikia waliomba msahama kwa Mungu baada ya kujua kuwa ni kosa kuchepuka!
 
CALM DOWN...
Kwa hiyo ukweli usisemwe?maisha si kuolewa au kuoa tu.. ndoa ina tabia ya unafiki kiasili

Kama ndivyo basi sio ndoa tu hata maisha unayoishi kila siku kuanzia nyumbani kwako mtaani hadi kazini ni full unafiki. Iweje mje kuzungumzia ndoa tu.
 
nimsaidie nini lara 1? kwani huyu mtoto hadi asaidiwe? she is matured, ana degree huyu mpaka cpa kapewa, keshafikia kiwango cha kupambanua baya na jema...

Mi wala sijashabikia jambo lolote.... Hoja ililetwa majuzi na mwenzetu ambaye yuko ndoani, akaeleza A to Z on what is IN, lakini lara 1 anaeleza anavyona yeye.

tusubiri akishaolewa maybe ataona utam na uchungu wa ndoa....

Huyu ataingizwa ndani sio kuolewa.
 
Last edited by a moderator:
Anueonghaseyoooooooooooooooooooooooooo!

Kutokana na watu kusafiria nyota yangu any allegations against me nazijibu kwa thread! Siendi kwenye thread ya mtu maana nakujazia trafic, unapata umaarufu, saivi nakula jasho langu mwenyewe! Mtasnisamehe! Ruksa kuniita Lara 1, jibu nitakupa ila kwa nakijibu kwa thread yangu!

Okaya kwasababu huu mjadala bado unauza tuendelee nao mpaka utakapo acha kuuza.

SIFUTI KAULI MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION 101. Kwa hoja zifuatazo!

Ni institution ya kibinadamu automatically. Ule uana damu hauwezi katu kutenganishwa na UNAFIKI! Ni jadi tu ya wanadamu hio katika hood way kama kuwa senstivie, kuwa polite, au bad way kama kuchachua au kutaka mwenzio asikuzidi! EITHER WAY UNAFIKI NI UNAFIKI UWE MZURI AU MBAYA!

Ndoa ni part ya jamii TUNAMOISHI KILA SIKU, is not as if wanandoa mnakaa MARS afu wengineo waseja, single, mabachela wanakaa pluto useme huwezi kujua ya ndoani! Thbutuuuuuuu! Hao hao wanandoa ni watu ndugu, jamaa, marafiki, majirani unaiteract nao, wanatoa testimony, wanahanyaa hanyaa vikinuka humo humo kwenye jamii! So tunayajua uzuuuuuriiiiii!

(Kipengele hiki kimefutwa kwa maombi ya wengi kuwa kiliwakwaza, kuwanyima uhuru wa ku comment! na kuingilia mipaka ya kidini, na kuleta hisi za blasphemmy na Kwa kuweka hiki kipengele Nakuungamia Mungu wangu na nanyi ndugu zangu nilikosa mnoo, nilikosa mimi kurefer kule, nilikosa sanaa! Na nimefuta naomba mnisamehe na Mungu anisamehe pia.) Kishatoka tuendelee na mada!

Increased divorce rates, marriage councelling, maombi na mifungo, vikao vya ukoo, kutimka kwa mapatna, kuzaa na wanawake tofauti tofauti wakati mke unae ndani inaonesha jinsi gani HALI SI SHWARI na upepo unapoolekea siko! Ikiwa mambo ni SWARIIIIIIII ndani ya hio taasis mbona matemdo tuyaonayo kwenye jamii ni CONTRARY na ushswariii? MBA Married But Available mmeongezeka sanaaa siku hizi! Hadi mtu anaamua makusudikally kuzaa na mume wa mtu, na mume anakubali pasipo kushurutishwa na mtu yeyote! HYPOCRARICY KWA BAADHI YENU IMEANZA KUGEUKA CONSPIRACY! Kuzaa nje makusudi ni CONSPIRACY kabisaa hio! Kuiita HYPOCRICY NI UNDERSTATEMENT!

The bi.tch KARMA nae pia ni source ya hii HYPOCRICY! Hamna mtu ana oa au olewa ili aachike, no! I am the special one theory ambapo kila mtu anajiona special! Sasa KARMA ndo inaletaga mtafaruku na mitafutano kibaoo na ni moja ya michimbuko kuu la HYPOCRISY pale tu Mother KARMA anaamua kumsulubisha mmoja, na kumzidishia mmoja! Usiombe mwanaume ndo msalaba ukuhusu! Hulalaaaa! Plus KARMA ndo inasababisha watu expectations zao while they marry zisitimie kwa makusudi, au ziyumbe yumbe na kusababisha mwenye unmet expectations akumbwe na kigugumizi cha WHETHER TO REMAIN A LOOSER AND KEEP TRYING HARD OR WALK AWAY! Hapa watoto wa mjini sifa yenu kubwa ni KI WALK AWAY!

Siple equation! Ndoa = binadamu +binadamu, binadamu = unafiki (moja ya sifa wanyama wengine hawana) Hence UNAFIKI +UNAFIKI =??????????? Mi chichemiii!

Unafiki unaweza kukabiliwa kwa Kuu ignore, ku u confront, ku walk away, kujicomvise hauexist japo kona ya mwisho ya moyoni inajua upo, kuuzoea tu na kuufanya part ya maisha yako, kumuomba Mungu, ETC japo hivo voote haviondoi maina point kuwa UPO!

Na challange yetu wana wa adamu ni HOW BOLD ARE YOU? Je utaruhusu unafiki wa mwenzio ukutafunee nafsi till u walk away from 10 yrs of ya life? Je are you strong enough to turn a blind eye? Are you weak enough to give up everything for just few mistakes? Are you fast enough to change your fate? Are you powerful enough to influence conduct za mtu mwenye oblongata yake? HII SASA INATEGEMEA NTU NTU!

Viongozi wa dini mtanisamehe, na pia nitatubu binafsi kuitoa hii hoja kwa makwazo nitayo wapa! BUT IT IS WHAT IT IS!

Kubalini tu kuna baadhi yenu WMEJITAHIDI MNOO KUIPAKA MATOPE HII TAASISI KWA MATENDO YAO yasiyo ya kiungwana na imelipa! Hahaaa! Kuna mtu ofisin nilimwambia ujue unaipaka matope taasis akanijibu NANI MSAFI ASIE IPAKA MATOPE? Hahaaa! 0 remorse! Nikamwambia flani, akanijibu hujamjua tu, kachungulie sim ya flani! Hahahaaa! ONE MAN CAN MAKE A DIFFRENCE TRY TO BE THAT ONE MAN! Mmoja moja MAY BE, and i mean MAY BE mnaweza kurudisha lost glory! Ila hivi sasa aaaaah! People dnt even try wamekubali tu ku accomodate hypocrisy kama part ya package!

Ni kazi chafu ila ilinilazimu kuifanya! Leo ukijisikia kutukana tukanaaaa mpaka roho yako itakate isiingie Iddi na kinyongo! Afterall hio ndo silaha ya mnyonge! Ubishani wa hoja nitajibi!

THE FEAST TO KILL THE MESSENGER MAY BEGIN! Hahaaaaa!

Unajua lara 1 theres something about you ambacho watu nahisi hatuelewi.Ivi may you just clear the doubts here why are you so negative about relationships na ndoa and all that.yaani ww ni revolutionist kwel kwel i gues ingekua in your power ungepitisha ndoa za mkataba Tanzania where mtu akiona the nxt party hasomeki anaweza sepa kwa mda wake and in peace.so may u please give us your experience in either marriage au rships au hata several situations that have crossed your path or whatever and maybe wanajukwaa tutakuelewa.
 
Back
Top Bottom