Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

So arogant! we umeolewa? kama hujaolewa usiseme kitu usichokijua na kama umeolewa ndoa yako ndo taasis ya kinafiki..
Lates say yes i am arrogant na sijaolewa WILL IT CHANGE THE FACT THAT DIVORCE RATE IMEONGEZEKA, BASTARD CHILDREN WAMEONGEZEKA, MICHEPUKO IMEONGEZEKA, KUFA NA NGOMA WANA TAASISI WENZENU KUMEONGEZEKA, ETC! MPAKA PSI WAMEAMUA KUTUMIA MILLIONS KUVUNJA UKIMYAAAA! Will my arrogance change that?
 
Sikia..dunia ni sehemu nzuri sana kuishi..lakini baadhi ya watymu wanapafanya pawe pagumu kwa baadhi ya watu pia....dunia ni mbaya? Dunia ni ya kinafiki?

Leo tunasali wapi?

YES DUNIA NI YA KINAFIKI, HUJASIKIA DUNIA TAMBARA BOVU, DUNIA DUARA, UTAFUNZWA NA DUNIA, USHAWAHI KUSIKIA DUNIA NI PEPO NA PARADISO?

Kama hujasali jadi sa hizi sio msaliji wewe! Saa 12 n nusu ndo mpango mzima!
 
....must be!!!!

hata mandolini hujiona kama panamera
Kwenda kwangu millage HOW DOES IT MAKE MARRIAGE A NOBLE, SACRED INSTITUTION AGAIN..? Ingekuwa nikienda millage taasisi inapunguza unafiki mbona ningeenda mpaka kifaa kiache kusoma! Hahaaa! BUT WE ALL KNOW YOU AR WHO YOU ARE BUNCH HYPOCRITES!
 
At least now umejaribu ku-maintain a good balance katika maelezo yako.
Hata sisi lawyers twatumia precedences lakini kama mko kwenye same line of hierarchy unakuwa huru ku-depart from the previous decisions na kutengeneza rule mpya ( historia si hitimisho)...nawe pia waweza fanya mapya ndani ya ndoa.
 

Hahaaaa! Kuna kitu kinaitwa VICIOUS CYCLE OF POVERTY IN ECONOMICS, Sasa na ndoani kuna kitu kinaitwa VICIOUS CYCLE OF HYOCRICY! Ni ngumu sanaa kubadilisha hali wakati umezungukwa na watu wa hali hio!
 
kama hujui cha kunijibu the remain quiet...unacho cha kunijibu ndiyo maana umeandika.

Usitafsiri maandishi yangu kwa kutumia emotions zako...ukiamua kunielewa utanielewa otherwise hutanielewa pia.

Nawe usidhani wengi wapigao makelele kuwa ndoa hazifai/zina matatizo now days wana-enjoy kundelea kuwa single...na kwanini utumie historia za wenzako kujitafsiri wewe na kuwa-discourage ambao hawajaingia ndoani?
 

utajigawaje sasa kaizer
 
Last edited by a moderator:

utajigawaje sasa kaizer
 
Last edited by a moderator:
In any academic issues generalization has to be taken with care. Udanganyifu upo kweli, lakini kwa kiasi gani. Yawezekana hata wewe ni matunda ya ndoa, lakini je umepatikana kwa misingi ya Hippocratic? Maana aisifuye mvua huenda imemnyea. Kusema wanachama wa CCM wanavaa mashati ya Kijani na suruali nyeusi, Lara 1 amevaa shati la kijani na suruali nyeusi, basi ni mwana CCM. sio kweli. Unapaswa kwenda mbali zaidi ya hapo.
Hoja yako ingalikuwa na nguvu kama ungechukua takwimu za idadi ya wanandoa katika kijiji cha jamii ya wakristo, halafu ukatuambia ni ndoa ngapi zenye matatizo uliyoyasema, kijiji cha Waislam, wapagani, Walokole, Wakatoliki nk, ndipo uje na hitimisho lako.
Kuangalia uzoefu wa wanajamii unaoishi nao wewe na kuchukua uzoefu wako, inawezakane isitupe hitimisho la kisayansi kwa sababu ndege wa rangi moja huruka pamoja hivyo jamii unayo interact nayo wewe na wewe unaviashiria vya tabia hizo, na malezi yanayofanana na hayo ni lazima utapata hitimisho la uzoefu wako na watu unaozoea kukutana nao kwa sababu ndiyo mazingira yako. Mwizi huwa haamini kama kuna watu sio wezi, mzinzi haamini katu kama kuna watu sio wazinzi. Kimtokacho mtu mdomoni ndicho kilichomjaa kifuani.Ukweli ni kuwa wapo watu waaminifu kabisa kabisa. Hiyo unayosema ni hypothesis tu inayotakiwa kuangaliwa magnitude yake, test the hypothesis it might rejected of the field
 

EXCELLENT! Nadhamni mmekubali WANANDOA WANAFIKI WAPO WAKUTOSHA NA WASAFI PIA WAPO! Sasa hio generalisation yenu ya kusema NDOA IS A NOBLE ISNTITUTION MIMI NDO SIJAIKUBALI HOW CAN A NOBLE ISTITUTOON ACCOMODATE HYPOCRITES.? Umeonaaaa! So hata nyie kugeneralise ndoa is a noble institution mnatupiga changa la macho!

Cc Kaizer u like na hii sio kujikausha!
 
Last edited by a moderator:

We mi sjui uelewa mdogo au umeanzia mada kati kati manake unajikanyaga husomeki..unakubali unakataa hapohapo yaan nahisi uvivuuu kujibishana na wewe!..emotions,descouragements,..una any prove kwa hayo?..Mi naongoa kivyangu kama nimekudiscourage whateverrrr its up to wewe ...so ulitaka nisemeje kwakuwa ya kwangu ipo happy basi zote zipo hvyo ata kma uhalisia tunauona sivyo??khaaaaaaaaaaaaa bwana weeh usinichoshe miee sjawashkilia ufahamu wana ndoa kutojiheshmu its their take,wait aka kuheshmiwa wajiheshmu full stop nadhani wewe ndo huna cha kujibu ..hoja jibu sio blablah
 

Hatukatai wanafiki baadhi hawapo lakini haindoi ukweli,mpaka mwisho wa dunia ukweli utabaki ukweli ndoa kama ndoa si taasisi ya unafiki,endelea kuamini unachoamini haitufanyi sisi wote wanandoa ni wanafiki na wala hatujisikii wanafiki,wala hatujawekwa chapa kwamb ni wanafiki,wakiwemo wanafiki 100 haifanyi 100000 ni wanafiki,wanandoa wanafiki watazaa ndoa nafiki,wanandoa halisi watazaa ndoa halisi, kila mmoja atavuna alichopanda.

Uwe na wikiend njema mumy.
 
Hahaaaaa! SASA TAASISI YENYE MCHANGANYIKO WA WANAFIKI NA WASAFI ITAKUWAJE SAFI? Hii tu ndo hoja yangu!

How can a sometimes evil, sometimes good person be NOBLE?
 
Sinadhani kama pana kukubali au kukataa. Hoja ni kuwa ili uweze kujumisha watu walio wengi ndani ya taasisi husika lazima wawe hypocrite. Jambo ambalo hujalithibitisha kwa takwimu. Ikiwa kuna watu watatu katika kundi la watu 1000 huwezi kusema watu wote wako hivyo. Ukifanya hivyo utakuwa biased. Katika maadili ya utafiti hatupaswi kuwa biased. Ili tatizo liitwe tatizo kiasi cha kuitaji ufuatiliaji ni lazime liwe na ukubwa wa kiasi fulani katika jamii. Jambo likiwa dogo tu can be seen as neglible. Watu hawezikufukuza panya wakati nyumba inaungua. All in all inategemea limekugusa kiasi gani wewe binafsi mpaka ukalipa uzito jinsi ulivyolipa.
 
Kuwa na hakika kuwa ni uelewa wangu au wa kwako ni mdogo...obvious yours!

Nisingesomeka usingeweza kujibu hata hicho ilichokiandika pia.

Comments zangu haziko kukubishia wewe ujifanyae una ndoa wakati sounds zako zote ni za kuchepukwa tu,naeleza nielewavyo mimi kwa uzoefu wangu na walioelewa uzi wa lara 1 kama mimi BASI.

Usilazimishe nikuelewe wakati hueleweki.

Sina muda wa kelele zako tena bse tunatofautiana sana tu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…