MARRIAGE IS ALMOST HERE,but kazi za nje hazitaki kuelewa!NIENDELEE AU NISIENDELE NAO?

MARRIAGE IS ALMOST HERE,but kazi za nje hazitaki kuelewa!NIENDELEE AU NISIENDELE NAO?

Hahahaha yalimixiwa na Valuu si unajua mzigo wake mdau nikaishia kuchezea mausi tu hahahaha

nani anachair hii topiki sio Goeff??? maofu topiki kibao mwenyewe kapoteza dira....lakini za Valuu, ndovu and the like sio off topic hapa au sio Xpin?
 
Mi naona bora Kimey huyu mpwa na shemeji aaaah!!!
ha ha ha ha!
kuna kanuni moja tu ya maadili bht aidha umeisahau au huijui!...........

pm you shortly!

lakini ukija chawote,au tukipanda tukutuku mpaka zero ndio unaweza kutujua sisi ni akina nani
 
SHUKRANI MKUU!
nitawamwaga...
naona walizoea mziki wangu
Inawezekana sio mziki wako tu waliouzoea, pengine wewe unajua kutoa matumizi na wao wanaona dalili zote za KUFULIA kama wewe utaoa. Lakini mimi nadhani wewe chukua chaguo lako na kelele za hao wa zamani zisikutishe maana ni za MFA MAJI ambaye haachi kutapatapa. Waambie ukweli (ambao unauma sana lakini) kwamba wao na wewe sasa ni basi una/mechukua kitu kipya jumla jumla.
 
Mzee wa Chawote Bar!!! Yaani unasema wanakung'ang'ania kwani wao ni majini mahaba??? Hata majini mahaba wanakimbizwa kwa jina la Yesu. Kemea wewe pepp mchafu toka, legea na hama!!! Tehe tehe mkuu. Mbona kumwacha girl friend rahisi tu kalumbu??? Unless una skendo ambazo wanazifahamu halafu unaogopa mchele utamwagwa hadharani. Pole mkuu!!
 
ha ha ha ha!
kuna kanuni moja tu ya maadili bht aidha umeisahau au huijui!...........
REFRESH MY MIND PLEASE

pm you shortly!
eagerly waiting for yo PM

lakini ukija chawote,au tukipanda tukutuku mpaka zero ndio unaweza kutujua sisi ni akina nani
hilo mpwa halina shaka, longing to be kwenye tuk tuk to zero or chawote
 
Mzee wa Chawote Bar!!! !!

Hahahaha ulivyo taja hapo nimepata kiu gafla alafu jamaa kesha wahi sasa sijui kama kweli watamuacha kweli maana toka atangaze kuweka mzigo ndani imekuwa kero mm nikipitia tu maswali ndo hayo hayo.
 
Back
Top Bottom