Ni kweli! Lakini mpango wangu sio huo uliotolea mfano hapo juuTatizo liko kwenye hiyo mipango. Wadada wengi unakuta anasema siolewi mpk nikamilishe mipango yangu lkn ukimchunguza utakuta hicho anachokiita mpango kiko centred kwenye kuitumikisha k.
Yaani unakuta ana biashara ndogo ama kazi ya kawaida ambayo haimpi nafasi ya yeye kujenga future yoyote. Ili apate kiwanja, gari, ama kuikuza biashara yake lazima ampate sponsor aitafune k.
Mwisho wa siku mdada kama huyu anakuwa anadanga na anachakaa kihisia, kiroho na kimwili kuliko aliyeko kwenye ndoa.
Niko na wewe ephen_ na nakuunga mkono. Lkn nakupa tahadhari kuwa uweke mipango thabiti itakayokuongezea thamani badala ya kukutumikisha kwa mabwana wengi kisa tu uonekane huikimbilii ndoa.Ni kweli! Lakini mpango wangu sio huo uliotolea mfano hapo juu
Maneno makali!π ila nimeelewakukutumiksha kwa mabwana wengi
Naam NDOA NI UTAPELINi kweli jamani ndoa ni utapeli, ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha.
Kataa ndoa, fukuza hiyo kausha damu hapo nyumbani
Ukiwa na watoto na mke wako mfanyakazi au mfanyabiashara na wewe pia mfanyakazi au wote wafanyabiashara utaelewa dhana ya mke mama wa nyumbani anashiriki vipi kutafuta mali za familia.Kwa mwanamke ambae hana mchango wa moja kwa moja kwenye shughuli za kiuchumi za mwanaume sioni kama ana uhalali wa kupata mgao wa mali baada ya ndoa kuvunjika, hivi mke ambae ni std 7 au o-level failure atatoa mchango gani kuhusu masuala ya tax clearance au business law kwenye biashara zangu?
Akitokea mwanaume anaeleweka narudia ANAELEWEKA just get married.Aisee! Mimi nina mipango yangu, na ndoa ni mpango wangu wa 3
Wa kwanza hata bado sijaumaliza nikarukie ndoa..kisa tu mtu anataka kunioa sasa hivi big No..
Yeye anataka kuoa sababu kakamilisha mipango yake.. Vipi kuhusu mipango yangu?? Siwezi kujisahau kisa ndoa
Nikamilishe yangu ili hata nikiingia kwenye ndoa naenda kuitumikia bila kua na stress ya mipango mingine.
Ndoa sio kitu cha lazima ila ni muhimu!!!!
Mkuu! Mimi badobado nifike atleast 25Akitokea mwanaume anaeleweka narudia ANAELEWEKA just get married.
nwdays they don't come twice.
Labda kama kuolewa kwako si kipaumbele.
Oh haya, olewa mapema uje kuwacheka wenzako baadae. Ukifika tu kuanzia miaka 25 hali haitakuwa nzuri.Nitachangamka nikifika 25, sasa hivi badobado
Kutokana na tafiti zilizofsnywa na taasisi moja nchini Kenya imebainisha kuwa ukilinganisha amani na utangamanonkayi ya ndoa za:-Ukiwa na mke mama wa nyumbani unarudi unakuta vitu vyote vipo sawa, watoto Wana maadili na tabia njema, wanavaa nguo safi, wanakula vizuri japo kwa pesa yako unakuwa na mawazo kama yako.
Sababu hujapata changamoto nilizo toleq mifano kwa vile mkeo alikuwepo badala yako kusimamia hayo yote.
Ahaaa sawa. Hapo subiri ufike hata 30Mkuu! Mimi badobado nifike atleast 25
Najua umemaanisha 'endelea kusubiri hivyohivyo uzeeke kwenu'πAhaaa sawa. Hapo subiri ufike hata 30
1. Mipango gani ambayo unahitaji kufanya before ndoa na haitaweza fanyika ukiwa ndani ya ndoa?Aisee! Mimi nina mipango yangu, na ndoa ni mpango wangu wa 3
Wa kwanza hata bado sijaumaliza nikarukie ndoa..kisa tu mtu anataka kunioa sasa hivi big No..
Yeye anataka kuoa sababu kakamilisha mipango yake.. Vipi kuhusu mipango yangu?? Siwezi kujisahau kisa ndoa
Nikamilishe yangu ili hata nikiingia kwenye ndoa naenda kuitumikia bila kua na stress ya mipango mingine.
Ndoa sio kitu cha lazima ila ni muhimu!!!!
Wanawake wa kiafrika wameiga life style ya wanawake wa kizungu bila kujua wenzao wana advantage ya kiuchumi kuwa na mazingira na maisha mazuri so hata maswala ya kifedha sio issue sana kwao.Kenya tayari wamefanyia amendment sheria ya ndoa yao.
Hata sijamaanisha, hivyo bahna.Najua umemaanisha 'endelea kusubiri hivyohivyo uzeeke kwenu'π
Sema sasa mpango gani au tupatie hata mfano hai wa mipango ambayo umelenga kufanya tuweze kuelewa una maanishaje maana sote tupo hapa kujifunzaNi kweli! Lakini mpango wangu sio huo uliotolea mfano hapo juu