Marriage is an outdated concept

Marriage is an outdated concept

A

Aah wapi naijua hiyo.. Siwezi kukataa ndoa wakati sijatendwa vya kutendwa na wanawake hata watano.. Ndo kwanza nilianza na kamoja nilikavuta ndani kammakonde kale KAKANICHANGAMSHA FASTA ZA USO ila sijakataa tamaa bado nijaribu Kwanza pengine.. Nitafutie kabinti kamwalimu au nesi nataka nijaribu huko hawa wasio na mishe wanakupiga double yaani hata ya kusuka rasta Zake akutegemee wewe na bado analianzisha anytime... Bora niteseke Na Ka madam changu kamwalimu Nitafutie seriously Tena awe shule za vijijini ili nije kumvuta town uhamisho chap connections tamisemi Ninazo
Sa kama kigezo ualimu si unichukue mie tu, ya kusuka haitahusu nanyoa utakua unanipa ya kunyoa au unanunua mkasi unaninyoa tu gero
 
Sheria ya ndoa imemtasfiri mwanamke wa kizazi cha nyuma kidogo ambae alikua na maadili mema, mtiifu na ana dhamira ya dhati kuidumisha ndoa yake. Kwa sasa wanawake wamejanjaluka na washaona sheria ya ndoa na mahusiano kiujumla ina mianya ambayo inaweza kuwapa pesa/utajiri kirahisi.

Hata wanawake wanaotetea ndoa point zao huwa wanazielekeza zaidi kwenye kuonyesha madhaifu ya wanaume ili ionekane jinsia zote mbili zina shida lakini hapo kwenye upendeleo wanaopewa na sheria mfano kugawana mali ambazo hawanashiriki kuzitafuta huwa hawapagusi.

Kwa mwanaume mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego mkali sana ambao uko mbeleni unaweza kwenda kuiangusha himaya yako uliyoitolea jasho kuijenga kwa miongo mingi

Kwa mwanamke ambae hana mchango wa moja kwa moja kwenye shughuli za kiuchumi za mwanaume sioni kama ana uhalali wa kupata mgao wa mali baada ya ndoa kuvunjika, hivi mke ambae ni std 7 au o-level failure atatoa mchango gani kuhusu masuala ya tax clearance au business law kwenye biashara zangu?

Kama suala ni kuitunza nyumba na kunipikia chakula je yeye alikua haishi hapo? Alikua hali hapo? Kama mimi natakiwa kufidia muda na jitihada zake kunitunzia nyumba na kunipikiq chakula kupitia kugawana mali mbona mwanamke hawajibiki kunirudishia fidia ya gharama nilizoingia kumpa hifadhi na chakula na matunzo mengine(mavazi, matibabu n.k)?

Kuna watu watakuja hapa kusema vijana tunaona malaya, tunachagua mke instagramu n.k, lakini kumbuka watu wanabadilika hata ukimchukua mke ambae hajasoma uko kijijini sio guatantee ya kusema atabaki ivyo ivyo siku zote.

Hofu ya mustakabali wa maisha ndio umfanya mwanamke aone ndoa ni security kwake. Mwanamke huyu akishapata uhakika wa mustakabli wa maisha yake bila kumtegemea mwanaume basi uona mwanaume ni kikwazo kwake katika kujitawala na hapa ndipo hekaheka zinaanza. Ni wakati wa sheria kumuangalia mwanamke pia kama predator.
Ku outdate ndoa kwa hofu ya kugawana mali siyo hoja yenye mashiko.

Kuna sababu nyingi za maana zaidi.
 
Kuna watu sio waoaji wanatafuta visingizio tu! Which is very okay.

Kuna watu hawawezi kuishi na watu, hivyo kuoa kwako ni salama zaidi.

Mali gani? Majaba, masufuria, na sabufa za Alitop? Na plot za 20*20 😂
Kama kuna watu sio waoaji hamaniishi ya kwamba ni sawa kwa waoaji wakandamizwe na sheria husika. Suala ni sheria kuwekwa katika mzani sawa iwe kwa muoaji na ambae sio muoaji ili ikitokea kutengana na mwenzake kuwe na fair playing ground.
 
Kuna watu sio waoaji wanatafuta visingizio tu! Which is very okay.

Kuna watu hawawezi kuishi na watu, hivyo kuoa kwako ni salama zaidi.

Mali gani? Majaba, masufuria, na sabufa za Alitop? Na plot za 20*20 😂
Baadhi ya wanaume kinachowakwamisha ni ubinafsi na kushindwa kwao kujitoa kwa ajili ya wengine na si vinginevyo.
 
Kama kuna watu sio waoaji hamaniishi ya kwamba ni sawa kwa waoaji wakandamizwe na sheria husika. Suala ni sheria kuwekwa katika mzani sawa iwe kwa muoaji na ambae sio muoaji ili ikitokea kutengana na mwenzake kuwe na fair playing ground.
Jamii zote za watu wastaarabu wanatunga sheria kuprotect victims na minorities.

Kwahiyo kama wanaume ni victim na minorities sheria zinatakiwa zitungwe kwaajili yenu.

Historically kuna sababu ya kwanini sheria hizo zilitungwa, hivyo kama zina mapungufu mlitumie bunge ku-legislate in your favours.

Tatizo lako ni sheria au ndoa yenyewe? Refer kichwa cha uzi wako.
 
Jamii zote za watu wastaarabu wanatunga sheria kuprotect victims na minorities.

Kwahiyo kama wanaume ni victim na minorities sheria zinatakiwa zitungwe kwaajili yenu.

Historically kuna sababu ya kwanini sheria hizo zilitungwa, hivyo kama zina mapungufu mlitumie bunge ku-legislate in your favours.

Tatizo lako ni sheria au ndoa yenyewe? Refer kichwa cha uzi wako.
Naungana na hoja katika aya zako tatu za mwanzo ndio maana nikasema sheria ilitungwa kwa kumchora mwanamke wa zamani hakupewa haki nyingi sana ikiwemo elimu na ajira sasa kama mwanamke hana ajira ataishi vipi sasa hapa ndipo inakuja hoja ya kwamba atatakiwa kuhudumiwa na mwanaume hata mgao wa mali anastahili kama jamii inambana sasa akiachwa hana ajira hana makazi ataoshi vipi? Lazima apate gawio lake. Kwa sasa mwanamke kapewa access zote za kutoboa ikiwemo ajira, elimu, kumiliki mali n.k ivyo akiamua kuishi bila kujishughulisha na chochote hayo ni maamuzi yake sio sawa kuchota mali za mwanaume kumpa mwanamke ambae alipewa access zote za kujitafutia ila akufanya ivyo. Ndio maana nikasema sheria imepitwa na wakati sababu mwanamke sio inferior tena kama kipindi ambacho sheria hii ilitungwa.

Kuhusu aya yako ya mwisho, mimi sikatai mahusiano ya mwanamke na mwanamke kimapenzi. Mahusiano yana kupanda na kushuka, nyakati nzuri ja nyakati chungu ni vyema mkakaa chini kumaliza tofauti zenu..kinachonitatiza ni vipengere vya ule mkataba wa ndoa mnaotakiwa kusaini.
 
Back
Top Bottom