Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Superman.
Lakini inakuwaje katika nchi zilizoendelea kuachana ni rahisi mno kuliko kwenye nchi maskini kama Tanzania?
When two people are under the influence of the most violent, most insane, most delusive, and most transient of passions, they are required to swear that they will remain in that excited, abnormal, and exhausting condition continuously until death do them part. ~G.B. Shaw, Getting Married, 1908
Inakuwaje wanandoa pamoja na kuwa na matatizo mengi... kuachana inakuwa vigumu?Je ni kwa sababu ya watoto, mazoea au hali ya kuwa tegemezi?
Hebu tujadili......
Vyote hivi. Lakini hasa watoto na mazoea. Ni ngumu sana kuanza upya nadhani.......
Waweza kuongeza na umri, mkiachana choka mbaya utakwenda wapi? Ni mtizamo tu....
WoS:
Je hii mada inaku-touch kwa namna fulani? Just Checking lol. Kinamna.
Hiyo choka mbaya... sijui kama ni ishu.Kuna watu wanakaa mwaka au miwili na ndoa yao kuyumba vibaya mno na bado wanasita kuachana.
Hapo ulivyoongea ni kweli kabisa, rate ya watu kuachana sasa hapa tz ni kubwa mno. Watu wanafunga ndoa lakini baada ya muda tu wanaachana, nafikiri na hii ya wanawake kufanya kazi nayo inaweza kuwa sababu mojawapo. Maana ukiangalia ndoa za zamani zilidumu miaka na miaka kwa kuwa mwanamke alikuwa tegemezi, tofauti na sasa baadhi ya wanawake wanainuka kiburi maana hawataki tena unyanyaso, haki sawa kwa wote. Hivyo akiona mitikiso ndani ya ndoa anaamua kujitoa mapema maana hata yy anaweza kulea familia yake(watoto) maana kama pesa anazo.TZ kuachana sio raisi kwa sababu wanawake wengi hawana kipato na wanategemea wanaume kwa maisha yao, kwa hiyo ni bora wa fight mpaka mambo ya tulie...
ukiangalia sasa hivi wanawake wengi wanafanya kazi na rate ya kuachana imeongezeka
mfano UK kuna wa kina dada wengi wa kiTZ wanamakaratasi basi kila siku wanawafungia wanaume zao nje na kuwatoa ndani ya nyumba, vitu kama hivi hawawezi kuvifanya TZ kwa ajili wao ni tegemezi, kwa hiyo kama unataka kujua the true colours za wanawake waTZ wape hela
Baada ya kutafakari kwa makini nimepata wazo ambalo linaweza kusaidia. Zianze ndoa za mikataba mifupi mifupi (kama vile lease). Mkataba ukiishi kila mtu anaanza vyake au kama wanataka kuendeleza wanaingia tena mkataba mpya wa miaka mitatu.
Vyote hivi. Lakini hasa watoto na mazoea. Ni ngumu sana kuanza upya nadhani.......
Waweza kuongeza na umri, mkiachana choka mbaya utakwenda wapi? Ni mtizamo tu....
Binafsi naunga mkono heading ya thread MOJA KWA MOJA!swala la msingi ni kumshirikisha mungu katika kumpata mtu wa type yako,mnaeendana,mnaevumiliana.ukikosea kuchagua BASI TENA.kila mnapogombana watu watawashaurini 'VUMILIANENI JAMANI,NDOA NDIVYO ZILIVYO'
Sbbu ni nyingi zinazo sbabisha watu wang'ang'aniane wakati mwingine ni watoto, wakati mwingine utegemezi kama mke anamtegemea mume kwa kila kitu ataenda wapi zaidi ya kuvumilia tu?!, na wakati mwingine mtu hufikiria kuzaa pembeni ana amua avumile azae na mtu mmoja? na wakati mwingine mazoea mtu umekaa naye miaka unafikiria jinsi ya kuanza upyaa na mtu mpyaa na nyingine nyingi tu!Hakuna cha ze dataz.. ndiyo ukweli.... huko majuu mtu anaweza kunyanyuka na sanduku lake huyooooo akaishia.Bongo..watu wanang'ang'aniana utadhani luba! Mtu ataondoka aende wapi?lol!
Baada ya kutafakari kwa makini nimepata wazo ambalo linaweza kusaidia. Zianze ndoa za mikataba mifupi mifupi (kama vile lease). Mkataba ukiishi kila mtu anaanza vyake au kama wanataka kuendeleza wanaingia tena mkataba mpya wa miaka mitatu.
Inakuwaje wanandoa pamoja na kuwa na matatizo mengi... kuachana inakuwa vigumu?Je ni kwa sababu ya watoto, mazoea au hali ya kuwa tegemezi?
Hebu tujadili......