Marriage is not a word - it is a sentence

Marriage is not a word - it is a sentence

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Hii nimeibamba mahali nimecheka sanaaa nikaona tusheee kidogo hapa

Marriage: A legal or religious ceremony by which two persons of the opposite sex solemnly agree to harass and spy on each other for ninety-nine years, or until death do them join
 
Ni kweli. Sentence ni hukumu (pamoja na kwamba hukumaanisha hivyo).
 
:bump2::bump2:After a few years of marriage, a man can look right at a woman without seeing her - and a woman can see right through a man without looking at him
 
Hii nimeibamba mahali nimecheka sanaaa nikaona tusheee kidogo hapa

Marriage: A legal or religious ceremony by which two persons of the opposite sex solemnly agree to harass and spy on each other for ninety-nine years, or until death do them join

mhhhhhhhhhhhhhhh
 
:bump2::bump2: After a few years of marriage, a man can look right at a woman without seeing her - and a woman can see right through a man without looking at him
Du..hii ni kali!
Watu wengi wanaweza kujaribu kubisha hili, lakini ukweli unabaki palepale, kuwa heshima ndani ya ndoa isipopangiwa mikakati ya uhakika kuilinda, itaporomoka kwa kasi ya supersonic!..Matokeo yake sentensi ya hapo kwenye RED inaanza kuapply taratibu!
 
I think, marriage is a calamity which a humanbeing solemnly decided to fabricate
 
Back
Top Bottom