Marriage is not for everyone

Mkuu, mtume Paulo alifanya nini ? Unaweza ku share na sisi sehemu hiyo ya maisha yake ?
Mtume Paulo hakuoa , hakuhitaji mahusiano yeyote, Yeye aliweka lengo lake moja tu " Kuhubiri Injili ya Yesu Kristo" , so aliamua kufanya kila liwezalo Ili atimize kusudi, aliandika katika Waraka wake kuwa aliona mahusiano kana kwamba yatampunguzia kasi .

Tuje kwa jamaa, ana watoto, hawa Kwa sasa sidhani wanahitaji mama mpya, wanamhitaji awe provider na kuwasaidia kutimiza kusudi la wao kuwepo. Mahusiano na wanawake wengine yanaweza mpunguzia kasi ya kuwalea watoto wake na hivyo baadhi ya wanawake sio wema, wanaweza watesa watoto hao. Kwasasa awalee mpaka wakomae kiakili kabisa wakijua mema na mabaya ndipo ataamua.

Aweke kusudi la kuhakikisha watoto wake hasahasa wa kike hawapungukiwi na chochote. Asilimia kubwa ya watoto waliolelewa na mama wa kambo huwaga na ukatili fulani hasahasa wa kike na kwa hali hii ya sasa ya KATAA ndoa anaweza tiwa mimba akaachwa kwasababu ya tabia ambayo itapandwa na mama yake wa kambo ya ukatili na hakuna mwanaume wa Kiafrika anaweza vumilia hilo hasahasa wa sasahivi.

Kusudi liwe kulea mpaka wapate akili.
 
Asante sana Mkuu, nimekuelewa vizuri kabisa
 
Do u Miss yourself[emoji848], I mean the PERSON you were before pain[emoji174] changed YOU [emoji1784]
 
Do u Miss yourself[emoji848], I mean the PERSON you were before pain[emoji174] changed YOU [emoji1784]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok well because you narrate in English let me advice you in English because it's my mother tongue...

The marriage needs perseverance, a lot of women they enter in a marriage as a trial. When they meet something devestating they run away, they have a lot of expectations in a marriage....

Listen, raise your child well, don't ever call or chat or texting your wife just focus with life, think positive, find a concubine just to fulfill you libido sometime it happen but don't expect too much from a women...

Best of luck welcome again.
 
Thanks to Brother Mshana Jr. and others who were there for me during that difficult moment. May God bless you abundantly [emoji3531][emoji1545][emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake noma sana wamekufanya kitu sio mpaka umejuta kuwafahamu
 
Hapo neno pekee nililoweza kuelewa ni Mshana Jr
 
Don`t tell me!! I have not ever received that heartbreak.. so you mean i'm to leave the girlfriend i have right now?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…