Marriage is not for everyone

Marriage is not for everyone

Mkuu, mtume Paulo alifanya nini ? Unaweza ku share na sisi sehemu hiyo ya maisha yake ?
Mtume Paulo hakuoa , hakuhitaji mahusiano yeyote, Yeye aliweka lengo lake moja tu " Kuhubiri Injili ya Yesu Kristo" , so aliamua kufanya kila liwezalo Ili atimize kusudi, aliandika katika Waraka wake kuwa aliona mahusiano kana kwamba yatampunguzia kasi .

Tuje kwa jamaa, ana watoto, hawa Kwa sasa sidhani wanahitaji mama mpya, wanamhitaji awe provider na kuwasaidia kutimiza kusudi la wao kuwepo. Mahusiano na wanawake wengine yanaweza mpunguzia kasi ya kuwalea watoto wake na hivyo baadhi ya wanawake sio wema, wanaweza watesa watoto hao. Kwasasa awalee mpaka wakomae kiakili kabisa wakijua mema na mabaya ndipo ataamua.

Aweke kusudi la kuhakikisha watoto wake hasahasa wa kike hawapungukiwi na chochote. Asilimia kubwa ya watoto waliolelewa na mama wa kambo huwaga na ukatili fulani hasahasa wa kike na kwa hali hii ya sasa ya KATAA ndoa anaweza tiwa mimba akaachwa kwasababu ya tabia ambayo itapandwa na mama yake wa kambo ya ukatili na hakuna mwanaume wa Kiafrika anaweza vumilia hilo hasahasa wa sasahivi.

Kusudi liwe kulea mpaka wapate akili.
 
Mtume Paulo hakuoa , hakuhitaji mahusiano yeyote, Yeye aliweka lengo lake moja tu " Kuhubiri Injili ya Yesu Kristo" , so aliamua kufanya kila liwezalo Ili atimize kusudi, aliandika katika Waraka wake kuwa aliona mahusiano kana kwamba yatampunguzia kasi .

Tuje kwa jamaa, ana watoto, hawa Kwa sasa sidhani wanahitaji mama mpya, wanamhitaji awe provider na kuwasaidia kutimiza kusudi la wao kuwepo. Mahusiano na wanawake wengine yanaweza mpunguzia kasi ya kuwalea watoto wake na hivyo baadhi ya wanawake sio wema, wanaweza watesa watoto hao. Kwasasa awalee mpaka wakomae kiakili kabisa wakijua mema na mabaya ndipo ataamua.
Aweke kusudi la kuhakikisha watoto wake hasahasa wa kike hawapungukiwi na chochote. Asilimia kubwa ya watoto waliolelewa na mama wa kambo huwaga na ukatili fulani hasahasa wa kike na kwa hali hii ya sasa ya KATAA ndoa anaweza tiwa mimba akaachwa kwasababu ya tabia ambayo itapandwa na mama yake wa kambo ya ukatili na hakuna mwanaume wa Kiafrika anaweza vumilia hilo hasahasa wa sasahivi.

Kusudi liwe kulea mpaka wapate akili.
Asante sana Mkuu, nimekuelewa vizuri kabisa
 
I have come to realize that marriage is not for everyone, and I have accepted that it may not be the right path for me. After going through multiple relationships and experiencing heartbreak, I have learned that trust can be fragile and love can be fleeting.
Do u Miss yourself[emoji848], I mean the PERSON you were before pain[emoji174] changed YOU [emoji1784]
 
I have come to realize that marriage is not for everyone, and I have accepted that it may not be the right path for me. After going through multiple relationships and experiencing heartbreak, I have learned that trust can be fragile and love can be fleeting.
Do u Miss yourself[emoji848], I mean the PERSON you were before pain[emoji174] changed YOU [emoji1784]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok well because you narrate in English let me advice you in English because it's my mother tongue...

The marriage needs perseverance, a lot of women they enter in a marriage as a trial. When they meet something devestating they run away, they have a lot of expectations in a marriage....

Listen, raise your child well, don't ever call or chat or texting your wife just focus with life, think positive, find a concubine just to fulfill you libido sometime it happen but don't expect too much from a women...

Best of luck welcome again.
 
I have come to realize that marriage is not for everyone, and I have accepted that it may not be the right path for me. After going through multiple relationships and experiencing heartbreak, I have learned that trust can be fragile and love can be fleeting.
piness lies in embracing oneself and finding joy in the journey of life, regardless of societal expectations.
Thanks to Brother Mshana Jr. and others who were there for me during that difficult moment. May God bless you abundantly [emoji3531][emoji1545][emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For now, I am focusing on being the best father I can be and building a life that brings me purpose and contentment. I am Vintage, a man who has learned that true happiness lies in embracing oneself and finding joy in the journey of life, regardless of societal expectations.
Wanawake noma sana wamekufanya kitu sio mpaka umejuta kuwafahamu
 
I have come to realize that marriage is not for everyone, and I have accepted that it may not be the right path for me. After going through multiple relationships and experiencing heartbreak, I have learned that trust can be fragile and love can be fleeting.

Being a father to my two children has shown me the true meaning of unconditional love and responsibility. My daughter, Mercy, brings me immense joy, and watching her grow into a beautiful young girl has been a blessing. My son, Seth, is a constant reminder of the commitment and sacrifice required to be a parent. Despite the challenges I have faced, my children are the light in my life.

Last year was one of the toughest periods of my life. My wife, whom I had trusted and loved deeply, betrayed me by running away with everything I had worked hard for. It was a devastating blow, both emotionally and financially. I felt broken and lost, unsure of how to pick up the pieces.

However, I refused to let despair consume me. I fought courageously to rebuild my life and find happiness within myself. I sought therapy to help heal the wounds and regain my self-worth. Slowly but surely, I started to overcome my depression and regain a sense of purpose. Thanks to Brother Mshana Jr. and others who were there for me during that difficult moment. May God bless you abundantly [emoji3531]

As I reflect on my journey, I have come to the realization that marriage is not the sole definition of happiness and success. It is not the only path to fulfillment. I have learned to find joy in other aspects of my life – my career, my hobbies, and most importantly, the love I have for my children.

I have accepted that I may not have achieved everything I had hoped for at this age, but I am grateful for the strength and resilience I have developed. I have learned to prioritize my own well-being and happiness, for the sake of myself and my children.

While marriage may no longer be my interest, I am open to the possibility of finding love and companionship in other forms. Perhaps, in time, I will stumble upon a meaningful and fulfilling connection that aligns with my values and aspirations.

For now, I am focusing on being the best father I can be and building a life that brings me purpose and contentment. I am Vintage, a man who has learned that true happiness lies in embracing oneself and finding joy in the journey of life, regardless of societal expectations.
Hapo neno pekee nililoweza kuelewa ni Mshana Jr
 
Don`t tell me!! I have not ever received that heartbreak.. so you mean i'm to leave the girlfriend i have right now?
 
Back
Top Bottom