Married But Available itanimaliza ,ushauri wenu wadau....

Inatia uchungu sana kugongewa aisee... lakini nafikiria kama nikiacha kuchoronga huku bado mke wangu anaweza kuwa anachorongwa na wanaume wa Dar....kwa hiyo huwa inabidi niendelee kumgonga kwa hasira tu
Mzinzi hana wivu ..... Kaza roho mganga Mungu.
 
Kuna sehemu nilisoma kuwa hata hawa hadi anaongea na nyoka alikuwa ameenda umbali Fulani na kumuacha Adamu ndio nyoka akatumia hiyo nafasi. Hivyo umbali na wenzetu ni hatari kwetu sote. Tusidanganyane eti kuna mtu mwaminifu kwa haya mambo. Mtu yeyote anaweza kuingia mkenge
 
We mtafune tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…