married woman needed by married man

married woman needed by married man

find your own way cant help you on that,

povu la nini!we si unataka wake za wenzako wawe wanakupa umbea !sasa wacha na mkeo nae watu wamtake awape umbea!tena walahi na mimi ntaitafuta namba yake nikipe kichwa changu kimoja hivi humu! Asprin popote ulipo nakutaftia ID ya mke wa sitasita and u will do ze nidiful sawa?
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwanaume niliyeoa, ninatamani pia kupata mke wa mtu mwingine, vipi unaweza kuni-PM namba ya wife wako? Maana unaonekana umemchoka though unadmit kuwa she is very smart and idealistic.

Niko kwenye PM.

wanaume wakifanyiana wivu tena ya mtandaoni inachekesha heheheheee!!
 
thread nyingine ni vichekesho..!! huyo mke wa mtu aache kukaa na kubadilishana mawazo na mumewe, eti awe na wewe, kweli gear zingine, si useme tu ukweli kua umechoka kula nyama kila siku sasa unataka mboga za majani.... unazunguuuukaaaa kama kitu gani sijui. yaani mtaishia kwenye kubadilishana mawazo? mtakua mnakutana wapi kwanza ambapo mkionwa watu watajua ni kubadilishana mawazo tu na si vinginevyo?
 
Nashukuru sana kwa waliotoa maoni yao
aidha naishukuru JF kwa kufanikisha azma yangu,
so far nimepata 'friends' wakutosha kama nilivyokusudia
naomba niifunge hii thread rasmi kabla wife hajajibu request yangu.
many thanks to all and lets pray for OBAMA
 
Yaani nimejichelewesha hadi mlango umefungwa! Dah, hata mbinguni ntajachelewa. Late applications.haziruhusiwi?
Nashukuru sana kwa waliotoa maoni yao
aidha naishukuru JF kwa kufanikisha azma yangu,
so far nimepata 'friends' wakutosha kama nilivyokusudia
naomba niifunge hii thread rasmi kabla wife hajajibu request yangu.
many thanks to all and lets pray for OBAMA
 
Hivi unaijua athari ya kuwa na ukaribu na mke wa mtu, mumewe ataridhia? wewe nahisi unahamu ya kufanyiwa kitu mbaya na wenye mali zao!
 
Back
Top Bottom