Martha Koome apendekezwa kuwa Chief Justice wa Kenya

Martha Koome apendekezwa kuwa Chief Justice wa Kenya

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Mwanamke wa kwànza kuwa Chief Justice wa Kenya.
Wakenya wameamua kufanya mageuzi ya judiciary. Kwangu nawaongeza.

Court of Appeal Judge Martha Koome has been selected to succeed Chief Justice David Maraga.

Her name will be forwaded to President Uhuru Kenyatta for approval, and, thereafter, submitted to the National Assembly for vetting.

The Judicial Service Commission (JSC) announced on Tuesday, April 27 that Koome, 61, emerged the best candidate out of the ten applicants for the position.

The announcement was made by JSC Chairperson, Prof. Olive Mugenda, in a brief address to journalists on Tuesday evening


 
Huyu ndiye aliyewalecture waliokuwa wanamfanyia interview?
 
Wakenya kwa kupenda mashindano,

Eti kisa na sisi tuna Rais mwanamke.
 
Huyu Mama Ni Kama kapendelewa, Kwa mujibu wa Taarifa za ndani ni kuwa Lady Justice Martha Koome alipata mark 6 wakati SC Fred Ngatia alipata 7 na Jaji William Ouko alipata 8... Katika kubalance ukabila Chief Registrar wa Judiciary Ni Mluo hivyo Chief Justice hawezi kuwa Mluo, Martha Koome Ni Mmeru..Kutoka Mt. Kenya..Lkn amekubaliwa na Deep state..
 
Wakenya kwa kupenda mashindano,

Eti kisa na sisi tuna Rais mwanamke.
[emoji3526][emoji3526][emoji3526] By the way That's a great Decision by JSC and historic moment for Kenya to have a Women CJ [emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom