Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Wewe utakuwa wa Zanzibar au Tanga[emoji1787]Sema madogo wa dar mnazingua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa wa Zanzibar au Tanga[emoji1787]Sema madogo wa dar mnazingua sana
Baba kapeto nambieIla hawa watu wapo tu.
Zamani enzi zetu Kino kule nhc kulikua na jamaa limepanda kishenzi lichaga samson lilikua shoga,lilikua linapiga mzigo nbc pale town wakalimwaga. likambeba muuza bucha akahamia yaani wanaishi km mke na mume.
Balaa sasa ikawa kijiwe cha mashoga.
Wengine wanakuja wanaf*rana humo ndani 24/7
Kuna shoga mmoja alikua sana kwa samsoni pale alipata mzungu akaolewa yuko denmark mpk leo.
km mnakumbuka shigongo aliandika zamani sana.
Ukiuliza source , si tulikua vijana wa kitaa tu tunachapa bangi kisha kila mtu anarudi magetoni.
Maskani yetu ilikua hapo nje mbele ya nyumba ya hili senge Samson toka kabla halijahamia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo dada wa upande wa mkono wa kushoto aliyeshika iphone, hivi ulikua ni mwaka gani ule alioshiriki mashindano ya umiss?
Mic u bibi angu [emoji7][emoji7][emoji7]Mjini kuna mambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani hapo Mwamba ni huyo dem apo kati,,Na anaezi kuwapiga chuma wote hao[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukiwaangalia hawa jamaa kutokea mikoani unawezasema maisha dsm ni mepesi sana[emoji3][emoji3].
halafu nauliza tu,hii minduku nayo ina grade eh[emoji1787][emoji1787]mbona wengine wachafu hata iphone 6 plaini inawashinda!!!
Kama kawaidaBaba kapeto nambie
Aisee!kipa katoka golini...😁😁
Babu mbna cna number yako mie, mbna ningekutafta,Hivi namba yangu ya simu si unayo? Kwanini unimisi wakati unaweza kunitafuta lakini?
[emoji23][emoji23][emoji23] jaman babuu wee haya tyuuh.Basi usijali. Nakusubiri PM, babu na mjukuu walonge
Iamini akili yako tu iko sahihiHuyo jamaa mwenye kikofia hapo huwa simuelewi elewi mlengo wake kimahusiano. Ni kama yupo sana ule upande wa akina james delicious.