Martin akiwa na celebrities/wanamitindo wenzie

Hayo mapozi jamani!!?[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Baba kapeto nambie
 
ukiwaangalia hawa jamaa kutokea mikoani unawezasema maisha dsm ni mepesi sana[emoji3][emoji3].

halafu nauliza tu,hii minduku nayo ina grade eh[emoji1787][emoji1787]mbona wengine wachafu hata iphone 6 plaini inawashinda!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo jamaa mwenye kikofia hapo huwa simuelewi elewi mlengo wake kimahusiano. Ni kama yupo sana ule upande wa akina james delicious.
 
Huyo jamaa mwenye kikofia hapo huwa simuelewi elewi mlengo wake kimahusiano. Ni kama yupo sana ule upande wa akina james delicious.
Aisee yaani unahitaji kujiuliza nini tena hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…