matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,951
MARTINI KADINDA AUKANA UJUMBE UNAODAIWA ALITUMIWA NA JACK CLIFF BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA SOMA ALICHOKISEMA
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda anayedaiwa kuwa meneja wa zamani wa Jackie Cliff amesema hajapokea ujumbe wowote kutoka kwa mwanadada huyo anayeshikiliwa kwa tuhuma za madawa ya kulevya huko Macao, China alipokuwa akitokea nchini Thailand.
wazee wa kuunganisha dots mpooo?
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda anayedaiwa kuwa meneja wa zamani wa Jackie Cliff amesema hajapokea ujumbe wowote kutoka kwa mwanadada huyo anayeshikiliwa kwa tuhuma za madawa ya kulevya huko Macao, China alipokuwa akitokea nchini Thailand.
wazee wa kuunganisha dots mpooo?