Hahhhhhahhha watuchekeshaaaasss mbeaa mwenzetu upoooooo
We siyo type yangu...ishukuru JF atleast umeweza kushare maongezi na mimi. ..
Binamu unitak kwa hii ID , mods washafanya mambo, najua watu watammis warumi , ndo kashaenda mwambie na qn of sheba nipo huku now
Mkuu warumi usikatishwe tamaa na matusi unacho takiwa ni kutumia kile kitufe cha report abuse vizuri. Wewe na money stuna ni moja ya watu mnaofanya jukwaa hili lichangamke kwa habari.
At last warumi kawa super star kama ilivyokuwaga heaven on desert.
Naheshimu kazi zenu wote.
"Nlikuwepo":bolt:
Aaaaa aaah , kawaida mkuu, nadhan mchango wetu humu unakubalika na wengi kuliko wachache wenye chuki binafsi..
Huyu lazma ni kipwapwiso hakunaga mwanaume design hii
mkuu warumi,we uwa unafanya kazi saa ngapi? na wewe ni jinsia gani?
KUSEMA ukweli HATA MIMI kuna siku niliuiza japo sikupata jibu eti ni mwanaume!...lakini sasa jamani mbona anasound kama sisi akina dada?au masikio yangu?
KUSEMA ukweli HATA MIMI kuna siku niliuiza japo sikupata jibu eti ni mwanaume!...lakini sasa jamani mbona anasound kama sisi akina dada?au masikio yangu?
KUSEMA ukweli HATA MIMI kuna siku niliuiza japo sikupata jibu eti ni mwanaume!...lakini sasa jamani mbona anasound kama sisi akina dada?au masikio yangu?
Navunjika sana moyo sometimes , ila nikikumbuka uwepo wenu humu na @dinzarde napata nguvu upyaa