Mpaka mwezi uishe hatutapumuaaa
Ni matatizo chungu nzima......khaaaa....
Mpaka mwezi uishe hatutapumuaaa
Wapenda kick,kickini...
mbona mtoto hafanani na yy?
mbona mtoto hafanani na yy?
Mkewe hana photokopi mashine
Habari yako lakini
Dah!kasebule kadogo,ka~meza kamewabana mpaka kwenye miguu
Halaf huyu eti kanunua BMW kumpa zawadi wema, maisha yenyewe hayoo thubutuuuuu
Dina mimi na wewe hatuna utani,BMW? Kohhkokoh,nimekohoa kwa mshituko,BMW?