Mtu kama romy jones ange omba ada aende shule kama sio chuo.. manake kama mwanaume mwenzake hana kazi huyu zaidi yaku andika "wasafi classic baby for life " how sure are you it's for life? Hana kazi huyu jamaa zaidi yaku mjazia Diamond majukumu yaku mlisha naku mvalisha siku Diamond aki shuka kimziki ndio kwisha habari yake.. kwani kipindi watu hawa mjui Diamond nani alikua ana mjua huyu? Martin kadinda sasa na yeye ana dai eti wanaume wana mtamani alisha post mwenyewe insta hii kitu..sasa dume zima una post ujinga kama huu insta huna wazazi wewe vp wakiona eti wanaume wenzako wana kutamani? Petiman na yeye hana kazi endelea kula kwa madam wako.. na sharubu zote eti wema ana muita mtoto wangu.. na jamaa ana kenua ana ona byeee!