Pre GE2025 Martin Maranja kutangaza nia?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
wewe ni mgeni sana JF...
hio ni idadi ya watu wanaousoma uzi

zamani kidogo tajiri yetu, kyoma Maxence Melo alikuwa anawataja hadi majina..

baadae akafuta huo utaratibu
Mkuu huu mwaka wa8 mjomba sema Id tu. Kuna muda Huwa naona napotezea asa nilipoona mjumbe ndo nikajua kumbe ni wte😂😂

Ushama Huwa hauushi
 
Kwanza mpaka sasa hatuna bunge kunakusanyiko la majangili tupu humo ndani, aacha aingie huko atasaidia kwa kiasa chake
Vyama vya upinzani hawana kazi ya kuwahadithia Generation Z kuwa bunge la chama kimoja lilikuwaje kwa sababu tayari wameshajionea.
 
Hoja ijibiwe kwa hoja, kuna watu kwenye mitandao wako radhi wabishane na ukweli hata kwa kitu kilicho wazi na chenye ushahidi

Wanataka ubishani usio na maana yoyote ndio hao hukimbilia kusema hautaki kukosolewa kisa tu wamekosa hoja ya kukubana
Hapana na sipo biased kwa ninachokisema kwa sababu Martin nimemfollow twitter kupata updates tu kwa baadhi ya vitu. Ila kwenye intellectual capacity au kusema nitavuna fresh ideas kutoka kwake huko kutakuwa ni kujidanganya.

Ni observation yangu tu mkuu
 
2025 tunashiriki uchaguzi?

Tume ya uchaguzi ni huru?
Uchaguzi tumeridhia utakuwa huru na haki?
Katiba mpya tayari tumeshaipata?
 
Zitto ana hoja gani za msingi ambazo zitakumbukwa kwenye hili taifa?
Zitto kabwe hakuibuka kama whistleblower, aliibuka kama kizazi kipya chenye brains. Rejea tu issue ya madini pamoja na asilimia ya gawio tuliokuwa tunapata, alikuwa moja ya vijana waliolisimamia haswa kwa angle ya uchumi.

Sio yeye tu, ukiangalia cream ya vijana wenzie CHADEMA walikuwa hivyo pia, mfano ukimchukua Tindu Lissu pamoja na panics au attacks zake kwa hoja, Ila kwenye hoja and logic haswa ikiwa kwenye upande wa sheria huwezi kukosoa uwezo wake. Sio tu anaanisha matukio au kutoa data kama Martin Ila huwa anatoa solution lakini pia kuongezea muono na professional insights zake.

Sisemi hivi kumshusha Martin Ila nimeongea uhalisia ninavyouona.
 
Mimi sijawahi kumfollow ila post zake huwa naziona kuna vitu vingi nimeona vina mashiko kuhusu kutowajibika kwa viongozi na uonevu, rushwa n.k amekuwa akivisema

Kama wewe unatafuta intellectual capacity endelea kutafuta
 
Utawezaje kutoa hoja zenye mashiko za kuibana serikali bila reference? Si utaonekana unabwabwaja tu
Kwani wapi nimesema ni vibaya au wapi nimesema anachokifanya ni kibaya??...

Tatizo unanisoma huku umejiweka katika angle ya kumtetea. Mimi siongei kumshusha Ila namuongelea Martin kwa angle ya "Brains" au "uongozi" Kama mada inavyojaribu kuegemea
 
Kwani wapi nimesema ni vibaya au wapi nimesema anachokifanya ni kibaya??...

Tatizo unanisoma huku umejiweka katika angle ya kumtetea. Mimi siongei kumshusha Ila namuongelea Martin kwa angle ya "Brains" au "uongozi" Kama mada inavyojaribu kuegemea
Nimtetee yeye kama nani?

Unapima uongozi wa mtu kwenye post za X?
 
Huko mitaani kushaanza kuwaka moto wa mabango, mmoja yuko kwenye bodaboda, huku mwingine yuko kwenye Bajaj.

Jambo la kufurahisha ni tangazo la Waziri wa Tamisemi kwamba vyombo hivyo visiguswe na Polisi

View attachment 3034958
Nimeona Tulia amepiga picha nzuri kwa ajiri yake ,naye MMM kapiga picha kwa ajili ya Tulia ,Mwamba anaenda kupata pisi kali kama Mungu akipenda
 
Nimtetee yeye kama nani?

Unapima uongozi wa mtu kwenye post za X?
Kwani watu wanaomkubali Twitter, wanamkubali kwa sababu tu ni Martin kutoka Mara au kutokana na vitu anavyopost?..

Kwani posts anaandikiwa au anaziandika mwenyewe kutokana na uwezo wake, na vipi kuhusu reactions zake kwa watu. Nazo hizo ni mambo ya "X" au ni ufunguo wa kujua charisma, brains na emetional intelligence yake?..

Na vipi kuhusu viongozi ambao tunawaona kwenye TV, je nao tuwategeshee camera majumbani mwao ilhali kupitia interviews tu wanazofanya kuna kitu wanakiwasilisha.

Unachokionesha kwa watu ndicho kitakachotumika kukupima wewe ni mtu wa aina gani. Ndio maana watu wanaajiri brand strategists na publicists kwa kazi hiyo mkuu
 
Nimtetee yeye kama nani?

Unapima uongozi wa mtu kwenye post za X?
Ndiyo
Post zake zimeonyesha utayari wake, ukomavu wake, uzalendo wake.

Martin Kuya huku karibu yatatimia

Ana mapungufu kama mwanadamu hakuna aliye mkamilifu. Ameonyesha uthubutu na zaida anawapenda sana WaTan…ka na Tan…ika.
 
Angekuwa ni kiongozi hapo ndio tungempima uongozi wake. Kwa sasa hapana. Hata mafisadi tweet zao unaweza kusema viongozi bora kumbe bora viongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…