nchi zetu hizi ngumu sana mkuu na kadri unavyoyafahamu mambo na kuyajua unakuwa unasononeka moyoniWananchi inabidi waji assert kuwa shame wazi hao wanao support ujinga huu. Hii linaweza kufunguliwa mashtaka mahakamani, ili kupata ufafanuzi wa wazi na wa kikatiba kuhusu hili suala, lakini nina shaka kesi inaweza kuwa ndefu au mahakama ikasema hili ni jambo la bunge, liamuliwe kibunge, ambako mpira utamrudia Spika ambaye sina imani naye.
Hahahaa!
I guarantee you nikianzisha mada niandike exactly kama ulivyoandika wewe, nitaambiwa namchukia Samia na nitaambiwa Magufuli harudi tena, keshakufa na kuoza!
Hiyo ndo JF ya siku hizi!
bora magufuli alikua na vision ya aendako (japo njia alizokua anatumia hazikua sahihi kabisa), ila huyu hana vision wala misionHuyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya yasiyofaa ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.
Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.
Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Sipingi mawazo yako mkuu...Mama Samia angeachana na wanasiasa / vijana wahuni-wahuni wa aina ya Joshua Nassari na Peter Lijualikali.
..Binafsi naangalia suala la CHARACTER / TABIA na naona vijana wale wangeachwa wakatafute maisha mtaani.
..siamini kama vijana hawa WANAAMINIKA na nashindwa kuelewa Raisi anatarajia nini kutoka kwao.
..lingine ni kwamba teuzi hizi zinaturudisha ktk siasa za hovyo ambazo tulitarajia Mama Samia atatuongoza ktk safari ya kuachana nazo.
..Naamini kuna vijana wengi wazuri nchi hii ambao wana rekodi nzuri walistahili kuteuliwa kuliko vijana ambao walipewa nafasi lakini wakazitumia vibaya.
Sipingi mawazo yako mkuu.
Naamini ipo mantiki ya Mama kuamua kuwateua.
Msando leo angerudi Chadema alipoanzia, ungeendelea kuwa na msimamo huo?yaani Albert msando ana video clip iliwahi kusambaa akimchezea uch ** mdada flani hivi wakiwa kwenye gari
wewe bado unaona anafaa kwenye utumishi wa uma na hapo ana mke wake na Familia
Mzuri au kizuri kitatoka wapi sasa ndugu....?Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya yasiyofaa ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.
Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.
Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Kukaa kimya ni hatari zaidi kuliko kuwachambua. Elewa hivyo.Bro wangu tumekuwa wote muda mrefu sana hapa JF. Lkn kitu ambacho nimegundua ni kuwa viongozi wote ambao wamepita tukiwa wote hapa JF umekuwa ukiwapinga. Kuanzia Kikwete, JPM mpaka SSH, wote unawapinga. Je umepata kujiuliza nini tatizo? Mfumo au mtu mwenyewe binafsi?
Nionavyo mimi tuangalie uwezo wao, na si mapungufu yao. Kwa maana viongozi wetu hawa ni binadamu kama wewe. Hawatokei MBINGUNI kama malaika. Kwa hiyo tusiwe na mtazamo wa kuwachambua tu, kana kwamba sisi tunaweza kufanya kila jambo bila makosa.
Kafanya kosa gani kwaniKufanya kosa sio kosa, kurudia kosa ndio kosa.
Tulieni bavicha Mama ajenge nchiHuyu mama alipo bora sasa aseme kitu kuhusu katiba mpya kwa hiari yake.
Anakoelekea si muda mrefu hali ya uwanja itamlea.
Kukaa kimya ni hatari zaidi kuliko kuwachambua. Elewa hivyo.
Kukaa kimya ni hatari zaidi kuliko kuwachambua. Elewa hivyo.
Soma post namba moja kwa kina. Usiwe mvivu wa kusoma, kimeandikwa alichokosa kiikamfukuzisha ubunge.Kafanya kosa gani kwani
Leo unakubali "ustaarabu"?Watu wamekuwa wastaarabu kwa miaka 30 ya kuomba Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi. Hata aliyekuwa Katibu Mkuu wa maccm anaamini kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya lakini baada ya kupewa ulaji akaanza KUDEMKA eti kuhusu katiba mpya ni mawazo yangu binafsi na sasa naunga mkono msimamo wa chama. Chama bila wanachama hakina uhai hivyo hakuna msimamo wa chama.
Kwani Sabaya kahukumiwa?Basi na Sabaya wamuachie na wafungwa wengine wote.
Kamanda nenda kajinyonge, mkuu Erythrocyte atatuletea taarifa tuje kwenye msiba.Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Utofauti wa CCM na vyama vingine ni kuwa ccm ina dola. Mengine wanafanana.Tofautisha ustaarabu na kutokuwa na uwezo. Sio ustaarabu, bado upinzania hawana uwezo wa kuendesha nchi, hawana technical know how, hawana hata enough personnel wa kushika nafasi za uongozi. Miaka 30 ya existence ndio sasa wanajenga ofisi. Wewe halikushangazi??? Pesa za ruzuku walikuwa wanagawana wahuni wachache Leo hazipo eti ndio mnajifanya kuchangisha watu, pumbavu sana!!!
Sisi Watanzania tuliomchagua, au kama unajitia ukichaa na kujisahaulisha kizembe, kaa ukijua mama yupo kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi. Wana-CCM waliowengi na wananchi walioridhishwa na kuichagua ilani ya CCM ndio mama anafanyia kazi maoni yao. Hivi ndivyo mnavyotaka twende nyinyi.
Kumbe mnajua Tanzania ni yetu sote sasa kelel za nini?? Au Nassari sio Mtanzania?? Acheni ujinga na chuki na wivu huo. Kisa kahamia CCM???? Mmepitia kipindi kigumu kwa sababu ndivyo mnavyotaka. Mlipopitishwa kipindi cha kistaarabu na kuthaminika na mzee Kikwete mliishia kumtukana. Waarabu wanao msemo wao unasema "punda haendi isipokuwa kwa magongo" hilo ndio mnalolitaka.
Mama anatuongoza kwa busara na hekima na kutushirikisha sote nyinyi kila analolifanya halina jema.
And just for your information, vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vipo madhubuti na hakutakiwa na vurugu yoyote. Mkileta ujinga wenu uchaguzi utafika, mtashindwa kama kawaida na haitotokea vurugu yoyote.
Beware!!!!