Tetesi: Martin Maranja ndiye anayegawa rushwa kwa Wajumbe kwa niaba ya kambi ya Mbowe

Tetesi: Martin Maranja ndiye anayegawa rushwa kwa Wajumbe kwa niaba ya kambi ya Mbowe

Ushahid ata picha hamkupiga wakati anawapa wajumbe nauli za kurudi makwao?

Ila polisi akipewe 2000 na konda mna rekodi na kusambaza ila wanasiasa ahaa ni maneno tu au sio
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Tuwekee japo picha-mjongeo kidogo ili tukuamini badala ya kusema ni tetesi
 
Kwahiyo Polisi kupokea rushwa ni sahihi waachwe?
Mantiki ya kutaja polisi ilikuwa nini? Ungeishia kuomba ushahidi tu.
Sio waachwe ni kama uonevu ulio egemea upande mmoja why hao mafisadi wanao toa rushwa na watu wana shuhudia lakini hamuweki ushahidi na wao waka chukuliwa hatua?

Au rushwa ni mbaya kwa wengine ila wanasiasa wao rushwa ni halali kwao?
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Maranja Kiboko yake ni Fatma Karume 🐼
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Hapa huwezi saidika,nenda polisi
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Za maria zimeisha au ?
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Na nyie gaweni au hamna pesa?
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
kwani huko kwenye vyama PCCB hawapo?au wale wazee wa kamera waliotoa video ya wale traffic wakipokea hongo barabarani...
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Wajumbe wakule hiyo kodi ya serikali
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Haahaa Leo chadema inagawa rushwa hadharani, duh wakati wakishindana na ccm watasemaje kuhusu rushwa? Mbowe atoe tamko kuhusu haya mapesa
 
Back
Top Bottom