Tetesi: Martin Maranja ndiye anayegawa rushwa kwa Wajumbe kwa niaba ya kambi ya Mbowe

Tetesi: Martin Maranja ndiye anayegawa rushwa kwa Wajumbe kwa niaba ya kambi ya Mbowe

Badala ya kutibu symptoms (ugawaji wa rushwa) labda kama taasisi ingeangalia root cause kwanini watu wapo prone kupokea Rushwa, na hili huenda sio CHADEMA pekee bali CCM na Politics worldwide..., Kwahio ndio maana huwa nachelea kusema haya ni maigizo ya Demokrasia (the world over)
 
TAKUKURU washapewa maelekezo naona.

Stand Down 😀😀
 
Inasemekana Martin Maranja ndiye mgavi wa pesa za rushwa kwa Wajumbe ili waweze kumpigia kura Mbowe.

Chain ya pesa hizo hutoka kwa Mbowe-Boniphace na kumfikia Martin pamoja na wenzake wanao kimbizana usiku na mchana kuwapelekea hongo Wajumbe.
Nimeona kwenye mtandao lissu nae kaweka bango anaomba àgawiwe pesa, mbona hamsemi kwamba wanaomgawia lissu wanampa rushwa?
 
Back
Top Bottom