TANZIA Martyr Malcolm X's daughter, Malikah Shabazz, was found dead in her Brooklyn home

TANZIA Martyr Malcolm X's daughter, Malikah Shabazz, was found dead in her Brooklyn home

Tena sisi matajiri ndo kauzu kinoma!! hatutakagi ujinga wa utegemezi km ikitokea najua weye ni mwiba tu!! ukija kifara unapigwa mtaji ukajitegemee!! chunguza matajiri wote wa kichagga, wahaya, Wajita, waruri, wakisii, ndo zao hao!! na maeneo yao yameendelea! ukilinganisha na nyie wamakonde!

hata watoto wao hawakaagi kihasara, ni shule tu na akirudi nyumbani ni majukumu kwa kwenda mbele!! Dukani, banada la kuku, ng'ombe, shambani kusanya baasi! leo hao wanalalia mabox mjini nenda kijijini kwao ni Maghorofa safi!

Maskini ndo wanajazana kwenye vinyumba vya urithi!! sijui kaka meneja baasi hapo hapo!! wanasikiliza muziki weee!, wanakula timing ya kivuri daily!! kikihamia huku na wao huko huko! wanaweka vikao!

kwanza Tajiri kamwe hakai kwa ndugu! ili iweje kwanza! anachakarika 24/7, hata msomi tu!! wa kawaida acha hao wa vyuoni! wana nidhamu ya kujitegemea! wao ni kazi tu! kazi na wewe!!
Basi utakuwa una roho mbaya..
 
Basi utakuwa una roho mbaya..
Weye unataka kuwa na roho nzuri? Mkuu? hiyo ndg yangu ni tamaa ya kupendwa! si unajua tamaa inaua?? hivi unajua Mungu alimtimua Shetani mbinguni kwa ujinga km huu?

Malaika theruthi tatu mbinguni wakalaani kile kitendo!! wakaunganishwa nae mpaka leo wanasota! Sasa jua kabisaa! mie nimeumbwa kwa mfano wa Mungu!
 
Weye unataka kuwa na roho nzuri? Mkuu? hiyo ndg yangu ni tamaa ya kupendwa! si unajua tamaa inaua?? hivi unajua Mungu alimtimua Shetani mbinguni kwa ujinga km huu?

Malaika theruthi tatu mbinguni wakalaani kile kitendo!! wakaunganishwa nae mpaka leo wanasota! Sasa jua kabisaa! mie nimeumbwa kwa mfano wa Mungu!
Sasa tajiri gani kila siku unawaza kurogwa.unarogwa na Nani.
Au utajiri wako wa kichawi?
 
Sasa tajiri gani kila siku unawaza kurogwa.unarogwa na Nani.
Au utajiri wako wa kichawi?
Elima mchawi!! alikuwa mchawi alitaka kumroga Mtume Paul!! ...ninawaza uchawi kwa sababu nina nyota ya utajiri! Ukuu uliotukuka!! kamke kazuri km Malaika, watoto wenye afya, wazuri, akili mingi, nawalindaga si unajua matajiri tuna pataga kitu poa sana!!

Lkn MaskinI wewe lala nje!! wkt wa joto tu au mlango wazi tu! hkn hata wa kuchungulia, mwizi wala mchawi! Lkn mie eti nilale mlango wazi weee!!! .......faster tu!! wezi wachawi hao!!

si unaona ka rais kako Jiwe, kaliendekeza umaskini ikulu, yuko wapi leo?? si unaona wamemuondoa kiubweteee?? nilimshauri bana weee kaa kitajiri km sisi!!! akadharau! halafu wachawi mna tabia moja wote!! eti mnajifanya eti hkn uchawi nyie watuuuu! hamnipati ng'oo make ndo zenu!

Halafu kutunza tunza ndugu wa damu ni tabia ya wachawi kabisaaa ili wawatoe misukure!! na misukure wanakuwaga ndugu! kabisa hiindo tania yao number moja.

ndg wana JF fungukeni akili hii nawapa bure akili hii!! ukipendwa saana na ndugu km mleta mada!! hapo stuka! tena faster au mwambie ukweli tu ''humpati mtu hapa'' alafu sepa! utakuwa salama!! ndo zao kujifanya kupenda ndg!! kuumbe mnawekwa dukani!
 
Elima mchawi!! alikuwa mchawi alitaka kumroga Mtume Paul!! ...ninawaza uchawi kwa sababu nina nyota ya utajiri! Ukuu uliotukuka!! kamke kazuri km Malaika, watoto wenye afya, wazuri, akili mingi, nawalindaga si unajua matajiri tuna pataga kitu poa sana!!

Lkn MaskinI wewe lala nje!! wkt wa joto tu au mlango wazi tu! hkn hata wa kuchungulia, mwizi wala mchawi! Lkn mie eti nilale mlango wazi weee!!! .......faster tu!! wezi wachawi hao!!

si unaona ka rais kako Jiwe, kaliendekeza umaskini ikulu, yuko wapi leo?? si unaona wamemuondoa kiubweteee?? nilimshauri bana weee kaa kitajiri km sisi!!! akadharau! halafu wachawi mna tabia moja wote!! eti mnajifanya eti hkn uchawi nyie watuuuu! hamnipati ng'oo make ndo zenu!

Halafu kutunza tunza ndugu wa damu ni tabia ya wachawi kabisaaa ili wawatoe misukure!! na misukure wanakuwaga ndugu! kabisa hiindo tania yao number moja.

ndg wana JF fungukeni akili hii nawapa bure akili hii!! ukipendwa saana na ndugu km mleta mada!! hapo stuka! tena faster au mwambie ukweli tu ''humpati mtu hapa'' alafu sepa! utakuwa salama!! ndo zao kujifanya kupenda ndg!! kuumbe mnawekwa dukani!
una undugu na dj nalimison?
 
Kama mtu wa yake mavitu flani hivi; overdose!
ndo maana aliishi kimagutu gutu hivi!!! ukisha zama saaana!! huko unaogopa watu au watu wanakuogopa flani hivi! utakuwa unaongea lugha flani iviv!
 
Back
Top Bottom