Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Airdomes , Air strips haziwi na towerNimeshangaa sana hata mimi. Yaani uwanja unaotua ndege za abiria hauna control tower?
Afu baba yako na mama yako wawe ni miongoni mwa abiriaNatamani Air Tanzania ije izame baharini ikiwa na mambuzi fulani wako bungeni pumbavu zao vibwengo wale.
Hilo dege lenye hao watu litaangukq tu one day pumbavu zao hao vibwengo.Afu baba yako na mama yako wawe ni miongoni mwa abiria
Hahahaha hata ungeenda shule ya urubani usingepass mtihani wa kipimo cha akili, bado usingeweza kuwa rubaniningekuwa rubani nasubiri maofisa kama wote wa Serikali ndani ya ndege afu naitokomeza ndani ya maji ...vile vile.
Binafsi nilikuwa najua hiyo Airport ni kubwa kumbe ndio hivyo!!Airdomes , Air strips haziwi na tower
Hapo unatumia VFR kutua na kupaa, maana hakuna IFR kama ILS ambazo zinakuwezesha tua hata hali ikiwa mbaya (isiwe upepo tu)
wewe una akili hapo unavyojiona? yaani ni kweli CCM imebeba makopo kibao.Hahahaha hata ungeenda shule ya urubani usingepass mtihani wa kipimo cha akili, bado usingeweza kuwa rubani
advertiser ya kwanza uvuke Pantoni - busisi ama kamanga ferry - baada ya hapo uanze kupambana ni zaidi ya masaa 8 ama 9.Hivi barabara ya kutoka Mwanza kwenda bukoba ni mbovu sana? Au mbali sana?
Mnaokaa huko mtusaidie kui describe maana
Kila kitu majaliwa. Huyo Waziri wa Zanzibar, wa uchukuzi humuoni? Waziri Mkuu na Viwanja vya ndege ana husikaje? Ww binafsi ume panda ndege mara ngapi? Je ndege ndio kipaumbele sana akilini mwako?Kumbe yapo mengi yasiyosemwa. Kassim majaliwa mpira umetushwa kwako in ama uupige uingie golini au upaishe. Jioshe hata kwa hili moja tu
Kuanzia cha Arusha, Seronera vyote hivyo wanatumia Visual kutua na kupaaBinafsi nilikuwa najua hiyo Airport ni kubwa kumbe ndio hivyo!!
Kwahiyo ni kama viwanja vya huko kwenye mbuga zo wanyama zinakotua ndege ndogo ndogo.
Nimeshangaa sana hata mimi. Yaani uwanja unaotua ndege za abiria hauna control tower?
Unawaza kuua na kujiua, usingeweza kupass wangekubaini tokea maili alfu tanowewe una akili hapo unavyojiona? yaani ni kweli CCM imebeba makopo kibao.