Marubani wanalazimishwa Kutua Bukoba Airport?

Serikali ilisema ripoti ya pili ya ajali ya ndege ya precision Bukoba itatolewa baada ya mwezi 1 kuanzia 16 Nov. 22. Hadi leo mwezi 1 na wiki 3 serikali imekaa kimya.
Tunategemea hiyo ripoti itasema vyanzo vya ajali ikiwemo control tower, taa katika njia ya kutua na kuondoka ndege, na mambo mengine mengi yenye mapungufu uwanja wa Bukoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…