mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 685
Kosa moja ambalo lingeweza kupoteza mwelekeo wa mazungumzo yanayoendelea hivi sasa dhidi ya accasia na Tanzania lilikuwa lifanyike, lkn Magufuli kwa kasi ya ajabu akajifuta.
Wazungu pamoja na wote wanaotafuta mahali pa kutokea baada ya kubanwa kwenye mazungumzo walipata bonge la mlango wa kutokea.
Baada ya ripoti ya bunge juu ya madini ya Almasi na Tanzanite kumtaja Bwana Mruma dunia yote sasa ilijua huo ndio mwisho wa kelele za ripoti ile ya Mruma.
Alichofanya Magufuli ni kununua hiyo kesi kama baba kwa maelezo tuu kwamba alimtuma kwenda kufanya umafia huko alikofumaniwa.
Hongera akili kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu pamoja na wote wanaotafuta mahali pa kutokea baada ya kubanwa kwenye mazungumzo walipata bonge la mlango wa kutokea.
Baada ya ripoti ya bunge juu ya madini ya Almasi na Tanzanite kumtaja Bwana Mruma dunia yote sasa ilijua huo ndio mwisho wa kelele za ripoti ile ya Mruma.
Alichofanya Magufuli ni kununua hiyo kesi kama baba kwa maelezo tuu kwamba alimtuma kwenda kufanya umafia huko alikofumaniwa.
Hongera akili kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app