Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Enyi wana wa adamu
wapi vitabu vya dini vimeandika mke ni hekalu la kufanyia gym
wyawezekana kutokana na laana ama ukoo wenu kuwapiga wake zao
nasema laana inaruhusiwa kuvunjwa mkome nasmea mkome wake
zenu wamezaliwa na mama kama wenu kwa nini hukuanza kumoiga mama yako uanze kupiga mkeo nasema hili life mnaaribu watoto wenu wanajifunza nini.....
Kama ni mapepo na unahisi umerithi nenda sehemu za ibada ukatolewe hayo mapepo
wapi vitabu vya dini vimeandika mke ni hekalu la kufanyia gym
wyawezekana kutokana na laana ama ukoo wenu kuwapiga wake zao
nasema laana inaruhusiwa kuvunjwa mkome nasmea mkome wake
zenu wamezaliwa na mama kama wenu kwa nini hukuanza kumoiga mama yako uanze kupiga mkeo nasema hili life mnaaribu watoto wenu wanajifunza nini.....
Kama ni mapepo na unahisi umerithi nenda sehemu za ibada ukatolewe hayo mapepo