COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
Nasikia watumishi wa umma wilayani Chato wamekatazwa kutumia simu wakiwa kazini.
Utaruhusiwa kutumia simu tu baada ya saa 9:30 alasiri muda wa kutoka ofisini.
Marufuku hiyo nasikia imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Chato.
Kama kuna mtumushi wa Chato humu atusaidie kutupa ukweli wa tetesi hiyo.
Utaruhusiwa kutumia simu tu baada ya saa 9:30 alasiri muda wa kutoka ofisini.
Marufuku hiyo nasikia imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Chato.
Kama kuna mtumushi wa Chato humu atusaidie kutupa ukweli wa tetesi hiyo.