Nasikia watumishi wa umma wilayani Chato wamekatazwa kutumia simu wakiwa kazini.
Utaruhusiwa kutumia simu tu baada ya saa 9:30 alasiri muda wa kutoka ofisini.
Marufuku hiyo nasikia imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Chato.
Kama kuna mtumushi wa Chato humu atusaidie kutupa ukweli wa tetesi hiyo.
Wewe ni mat*** jibu gani sasa hili?kwa vile utakuwa umeaga atajua pakukupata!
Nawe pia!Wewe ni mat*** jibu gani sasa hili?
Tatizo wanaongea kwanza alafu akili inakuja nyuma, kuja kustuka anaanza kujikanaSi ajabu kumkuta aliyetoa tamko hilo ni wa kwanza kulikiuka,utamkuta nae anatumia simu kabla ya SAA Tisa alasiri.Inatakiwa awe mfano simu anaacha nyumbani.
Kitu cha kawaida sana huku ughaibuni, wakati wa kazi marufuku kutumia simu..hamna la ajabu hapo sema bongo watu wanaover use simu hadi teller wa bank anatumia simu kazini kweli??? Hio sheria ya kuzuia simu mahala pa kazi ipo sana tu kwa nchi nyingi sio bongo tu.Sijaelewa
Ulimwengu huu Uzuie simu
Sijui!!!