gesi ikishachakatwa tu haiwezi kukosa soko. hata hapa tanzania tu kwa matumizi ya ndani, kenya matumizi ya ndani, rwanda, burundi na zambia, soko linatosha hata bila kupeleka ulaya au asia. kwa Tanzania sasahivi watu wengi wameshasahau kupika bila gesi.
tenchnolojia inaenda kasi sana. mwaka 2007 nilipoenda america kwa mara ya kwanza, nilizikuta hizi flat screen ambazo ninyi ndio zimefika huku siku hizi. tulikuwa tunaunua movie online kama tunavyoweza kufanya hapa sasahivi kwa hizi tv smart. kuna maendeleo mengi tu kabla hayajafika huku kwetu huko nje huwa yanakuwa yametumika karibu miaka 10 ndio yanatufukia. si ukute kuna alternative ya gas imeshaanza kutumika huko nje kwenye vitu ambavyo gas yetu ingetumia, miaka 10 ijayo tunakuja kukosa pa kuuza. uza tu.