HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
- Thread starter
-
- #61
Natural gas ina methane ambayo husababisha global warming , natural gas ikiwa ni mojawapo ya fossil fueli apigwa vita ! Achana na gesi,New Zealand ina ng'ombe wengi wanaotoa hiyo methane kutoka katika mfumo wao wa meng'enyo wa chakula na kusababisha pollution nchini mwao na wameshauriwa kupunguza kabisa kiasi cha ng'ombe au kuacha kabisa kufuga ng'ombe! Bill gates alishasema huko mbeleni inatakiwa kuwa na synthetic meat ili kupunguza idadi ua ng'ombe wanaotoa methane! Methane hiyo hiyo inapatikana kwenye gesi ya MtwaraNow or never kivipi wakati ndio kwanza mahitaji yake yatazidi kuongenzeka katika miaka ijayo kwa ajili ya kuzalisha umeme, mbona unaongea kama taahira fulani hivi? Ubongo umeacha wapi?
Lakini gari za kisasa zina kodi ndogo sana ukilinganisha za za zamani ! Kwa magari ya umeme naona wasitoze kodi kabisa ili kuhamasisha watu! China ukinunua gari la umeme parking no bure na unaruhusiwa kupita lanes ambazo magari mengine yoye hayapiti mfano kwa huku kwetu ni zile za mwendokasi, yaani ukinunua gari gari ya umeme unapita njia ya magari ya mwendokasiKinachosababisha tusitumie magari latest ni ufala wa unaowaitaa viongozi kwa kuja na masera ya kipuuzi kwenye kodi.
Kwa Natural gas ambayo ndio cleanest of all fossil fuels , itakuwa ndio ya mwisho kabisa kuacha kutumika, labda miaka 200 ijayo ambapo vifaa vyote vitakuwa vinatumia umeme na umeme unazalishwa kwa maji, upepo, Solar NK, atleast miaka 200 labda.., kwahiyo gesi yetu tutakuja kuichimba tukipata uwezo, na tutazalishia umeme pale Kinyerezi ili kuemdesha hayo magari ya umeme wanayoletaNatural gas ina methane ambayo husababisha global warming , natural gas ikiwa ni mojawapo ya fossil fueli apigwa vita ! Achana na gesi,New Zealand ina ng'ombe wengi wanaotoa hiyo methane kutoka katika mfumo wao wa meng'enyo wa chakula na kusababisha pollution nchini mwao na wameshauriwa kupunguza kabisa kiasi cha ng'ombe au kuacha kabisa kufuga ng'ombe! Bill gates alishasema huko mbeleni inatakiwa kuwa na synthetic meat ili kupunguza idadi ua ng'ombe wanaotoa methane! Methane hiyo hiyo inapatikana kwenye gesi ya Mtwara
Tatizo Africa wapigaji wengi mnooo yaani mpaka unaona yule siyo kiongozi bali ni mpiga diliila hiyo hela ni ndogo sana aisee, wakati kwa mwaka mmoja tu tunaingiza zaidi ya trilion 10 kwa mapato tu ya ndani. yaani gesi yetu yoote ndio bei hiyo? si tuanze kutafuta maisha mengine tu hapo hakuna cha kutegemea sana. tusijekujiona tushakuwa matajiri, plus wapigaji/mafisadi hawajachukua chao hapo.
SIo Kwamba gari latest zinakua na ushuru kidogo kuliko zile za zamani?Kinachosababisha tusitumie magari latest ni ufala wa unaowaitaa viongozi kwa kuja na masera ya kipuuzi kwenye kodi.