Maruhani au majini wanatoaje kw mwili mwa mtu?

Maruhani au majini wanatoaje kw mwili mwa mtu?

Mkuu labda nikuulize neno shetani lina maana ya Malaika anayeasi au lina maana gani? Kwa sababu Lucifer alipoasi ndipo akaitwa hivyo,kwanini aliitwa hivyo?
Na je,kundi la malaika waliyoamua kumfuata Lucifer ndiyo hadi leo ni hao hao tu hakuna tena malaika wanao ongezeka kwa kumfuata Lucifer na kumuasi Mungu?


Mkuu tatizo sio kuamini bali ni wapi umekipata hicho unacho kiamini? na ndiyo maana nilikuomba vifungu kwa kwenye biblia.
Mi naona unaendelea kuniuliza maswali ambayo mengine nimesha kufafanulia vizuri huko nyuma.
Maswali mengine kama ya nani Malaika na nani Shetani, hata wewe umeshafafanua kwa jinsi unavyoelewa.

Naona kama tunatoka nje ya mada husika inayosema;-

Je Majini na Maluhani yanatolewaje ndani ya mtu ?

Napenda kwa sasa tujikite kwenye mada husika. Ili tuendelee na mtiririko wa mawazo.

Kama una wazo jipya unaweza kutueleza.
 
Mi naona unaendelea kuniuliza maswali ambayo mengine nimesha kufafanulia vizuri huko nyuma.
Maswali mengine kama ya nani Malaika na nani Shetani, hata wewe umeshafafanua kwa jinsi unavyoelewa.

Naona kama tunatoka nje ya mada husika inayosema;-

Je Majini na Maluhani yanatolewaje ndani ya mtu ?

Napenda kwa sasa tujikite kwenye mada husika. Ili tuendelee na mtiririko wa mawazo.

Kama una wazo jipya unaweza kutueleza.
Ni wewe Mkuu ndiyo uliyetaka nieleze nachokijua kuhusu majini,ambayo wewe unasema hakuna njia ya kuyatoa yaingiapo kwa mtu ispokuwa kwa jina la Yesu tu na si vinginevyo.
 
Ni wewe Mkuu ndiyo uliyetaka nieleze nachokijua kuhusu majini,ambayo wewe unasema hakuna njia ya kuyatoa yaingiapo kwa mtu ispokuwa kwa jina la Yesu tu na si vinginevyo.
Sawa mkuu.
Mi saizi ni msikilizaji tu, kama unalolote basi endelea kuielezea hiyo mada, mimi nataka nijifunze toka kwako.
 
Umeeleza Vizuri Sana Ndugu, ila hiyo njia ya kuondoa Majini kwa kutumia Bange na Kitimoto sina ushahidi nayo.
Hiyo njia ya kwanza pekee ndiyo sahihi.
Hata mimi hiyo ya bange na kitimoto sina uhakika nayo ina work vipi ( spiritual), ila sidhani kama nimezungumzia kuwa inaondoa, navyojua kuwa inadaiwa inaprotect against them, pia nimesema kuwa ina watisha tu lakini haiwezi kuwa defeat kwahiyo wanaweza wakakuzuru japokuwa unatumia vitu hivyo.
 
Wadau kuna dada yangu, ni mwislam kwa dini,mara nyingi amekua akiumwa kichwaa sana na wakati mwingne anaongEa yakimpanda lakin hua hajitambua akiwa nomal ,je haya madudu kuna watu wanaweza kuyaondoaa mana yanamtesa sana wakati mwingne hali kabsa
Huwa anaongea nini mkuu yakipanda?
 
Nakuongeza kwenye listi ya ninao wafollow upo vzr mkuu..
Barikiwa..
Barikiwa,
Heri yenu zaidi mliyoitambua na kuifuata Injiri ya Yesu Kristo.
Kwani ndiye pekee Njia, Kweli na Uzima.
Hakuna Nabii aliyeweza kukanusha hili, wala aliyewahi kujitambulisha hivyo. Wala aliyetuahidi kuja kutufufua siku ya mwisho, wala aliyesema anaenda kutuandalia mahali Mbinguni na atakuja kutuchukua ili alipo yeye nasisi tuwepo.

(This is the greatest promise in human history)

Na, akitokea mtu ajiitaye Nabii,
ama Malaika au Mtume, akawahubiria ninyi mafundisho mengine, yasiyofanana na Injiri ya Yesu Kristo, katu, nasema tena ''katu" msimkubali.
Galatia 1 : 8 - 9

Maana Shetani pia hudiriki kujigeuza kwa mfano wa Malaika wa Nuru ili awahadae wasio na ufahamu,
2Korintho 11 : 14 - 15

Mwalimu wetu pia alitupa wosia.
" Jihadharini na manabii wa uwongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti ? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri na mti mwovu huzaa matunda mabaya "
Mathayo 7 : 15 - 20

Amina.
 
Ahsante sana mkuu, nimejifunza vingi toka kwako.. Usichoke kuendelea kutufundisha Mungu akulipe Heri
Barikiwa,
Heri yenu zaidi mliyoitambua na kuifuata Injiri ya Yesu Kristo.
Kwani ndiye pekee Njia, Kweli na Uzima.
Hakuna Nabii aliyeweza kukanusha hili, wala aliyewahi kujitambulisha hivyo. Wala aliyetuahidi kuja kutufufua siku ya mwisho, wala aliyesema anaenda kutuandalia mahali Mbinguni na atakuja kutuchukua ili alipo yeye nasisi tuwepo.

(This is the greatest promise in human history)

Na, akitokea mtu ajiitaye Nabii,
ama Malaika au Mtume, akawahubiria ninyi mafundisho mengine, yasiyofanana na Injiri ya Yesu Kristo, katu, nasema tena ''katu" msimkubali.
Galatia 1 : 8 - 9

Maana Shetani pia hudiriki kujigeuza kwa mfano wa Malaika wa Nuru ili awahadae wasio na ufahamu,
2Korintho 11 : 14 - 15

Mwalimu wetu pia alitupa wosia.
" Jihadharini na manabii wa uwongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti ? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri na mti mwovu huzaa matunda mabaya "
Mathayo 7 : 15 - 20

Amina.
 
Wadau kuna dada yangu, ni mwislam kwa dini,mara nyingi amekua akiumwa kichwaa sana na wakati mwingne anaongEa yakimpanda lakin hua hajitambua akiwa nomal ,je haya madudu kuna watu wanaweza kuyaondoaa mana yanamtesa sana wakati mwingne hali kabsa
Sio mtu anayemtoa huyo pepo, ni kwa jina la Yesu tu, pepo ndio wanatoweka. Soma maandiko ya dini jambo hilo limewekwa wazi.
Kumbuka, swala la mapepo ni la ki imani hivyo kuwaondoa pepo ni lazima uhusishe imani na sio nguvu.
 
Ana matatizo ya akili akamuone psychiatrist haraka, hakuna uchawi, ushirikina, ulozi wala wanga.
 
Aandae kitunguu saumu ndimu chumvi na mafuta ya mzeituni.. Kila anapooga aweke chumvi kidogo, ndimu moja vipande 3 vya kitunguu saumu kwenye ndoo ya Lita 20
Akimaliza ajipake mafuta ya mzeituni kwa siku 21
Naona Leo tunaloga wote mkuu

Turudi kwenye mada, baada ya hayo nini kinatokea?
 
Back
Top Bottom