Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
- Thread starter
- #101
BAHLABANE BA NTWA
wapenda kandanda nchini Afrika Kusini fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.
Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.
Mimi kama shabiki nguli wa MARUMO gallants nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
BAHLABANE BA NTWA
MARUMO 4
UTO 0
wapenda kandanda nchini Afrika Kusini fursa ya kuangalia mechi ya Marumo vs Yanga bureeee.
Hii ni habari mbaya, maana ninavyowajua wasauzi watajazana uwanjani na mavuvuzela ya kutosha na kitachofata inaweza kuwa mauaji ya halaiki kwa Yanga.
Mimi kama shabiki nguli wa MARUMO gallants nimewasanua tu wawakilishi wetu wa kimataifa. Mjiandae
BAHLABANE BA NTWA
MARUMO 4
UTO 0