Wakati matukio yanatokea hayakutokea chumbani yalitokea hadharani na mashahidi walikuwa makamishina wa mchezo kutoka Uganda.Iwe Yanga wmeiba pesa na kupuliza sumu au lah, swali langu ni moja tu ni njia ipi iliyochukuliwa kubaini kuwa ni Yanga ndio walioiba na kupuliza gari la Rivers united? Kama mtu kuripoti tukio tu ndio kuchukuiwa hatua pasipo uchunguzi basi soka la Africa lina safari ndefu sana.
I love Yanga!! 💚💛Timu ya Marumo kutoka A kusini imewasili Asubui ya Leo, na wamelikataa gari waliloandaliwa na wenyeji wao Yanga,
Ikumbukwe Siku chache mwenyej kapigwa faini kwa kosa la kupulizia sumu kweny gari la mgeni, pamoj na kukwapua kiasi cha fedha zilizokuwamo kwenye gari ilo, Alafu unafika unapewa usafiri na mwenyeji huyo huyo utakubali?
Yanga Jifunzeni kwa Simba acheni Figisu za kizamani na Za kishamba,, Chezeni mpira acheni kupulizia watu madawa na kuwaibia mali zao, mnalidhalilisha TaifaView attachment 2615458
Mkiwapiga kama Wydad walivyoipiga Simba kule Mohamed V mtaondolewa mashindanoni. Kumbuka Wydad walishinda 1-0Hata thimba walikata gari kule kwa Mohamed wa 5 ila kilichowakuta ni kufa kiume. Tutawapiga Kama mazembe tu.
Una kichaa wewe, Yanga ijifunze nini kwa Makolo? Labda Muifundishe Yanga Uchawi na Ulozi kama ule mliozindika pale S.Africa na kuambulia adhabuTimu ya Marumo kutoka A kusini imewasili Asubui ya Leo, na wamelikataa gari waliloandaliwa na wenyeji wao Yanga,
Ikumbukwe Siku chache mwenyej kapigwa faini kwa kosa la kupulizia sumu kweny gari la mgeni, pamoj na kukwapua kiasi cha fedha zilizokuwamo kwenye gari ilo, Alafu unafika unapewa usafiri na mwenyeji huyo huyo utakubali?
Yanga Jifunzeni kwa Simba acheni Figisu za kizamani na Za kishamba,, Chezeni mpira acheni kupulizia watu madawa na kuwaibia mali zao, mnalidhalilisha TaifaView attachment 2615458
So waliona kiongozi wa Yanga akifanya hayo?Wakati matukio yanatokea hayakutokea chumbani yalitokea hadharani na mashahidi walikuwa makamishina wa mchezo kutoka Uganda.
Na kwa kukuelewesha vizuri haya mambo mara nyingi club haiendi front ni mashabiki ndio hufanya kupitia maelekezo ya club yoyote ile.
Wewe kama shabiki wa utopolo wakicheza game yao na Coastal union wakafungwa ukafanya fujo inayoumiza club itaadhibiwa na shirikisho au haitoadhibiwa?So waliona kiongozi wa Yanga akifanya hayo?
Kama ni mbumbumbu wametumika? Maana mbumbumbu mmoja anaweza fanya hivyo ili kuihujumu Yanga.Wewe kama shabiki wa utopolo wakicheza game yao na Coastal union wakafungwa ukafanya fujo inayoumiza club itaadhibiwa na shirikisho au haitoadhibiwa?
nguvu zenu ndo mmehamishia huku!!!AISEEEE....Wakati matukio yanatokea hayakutokea chumbani yalitokea hadharani na mashahidi walikuwa makamishina wa mchezo kutoka Uganda.
Na kwa kukuelewesha vizuri haya mambo mara nyingi club haiendi front ni mashabiki ndio hufanya kupitia maelekezo ya club yoyote ile.
KIPIGO KIPO PALE PALE 5-1Timu ya Marumo kutoka A. kusini imewasili Asubui ya Leo, na wamelikataa gari waliloandaliwa na wenyeji wao Yanga.
Ikumbukwe Siku chache mwenyej kapigwa faini kwa kosa la kupulizia sumu kweny gari la mgeni, pamoj na kukwapua kiasi cha fedha zilizokuwamo kwenye gari ilo, Alafu unafika unapewa usafiri na mwenyeji huyo huyo utakubali?
Yanga Jifunzeni kwa Simba acheni Figisu za kizamani na Za kishamba,, Chezeni mpira acheni kupulizia watu madawa na kuwaibia mali zao, mnalidhalilisha Taifa.
View attachment 2615458
Iwe Yanga wmeiba pesa na kupuliza sumu au lah, swali langu ni moja tu ni njia ipi iliyochukuliwa kubaini kuwa ni Yanga ndio walioiba na kupuliza gari la Rivers united? Kama mtu kuripoti tukio tu ndio kuchukuiwa hatua pasipo uchunguzi basi soka la Africa lina safari ndefu sana.