Marumo Gallants walipowasili asubui hii walikataa basi waliloandaliwa na wenyeji wao

Marumo Gallants walipowasili asubui hii walikataa basi waliloandaliwa na wenyeji wao

Timu ya Marumo kutoka A. kusini imewasili Asubui ya Leo, na wamelikataa gari waliloandaliwa na wenyeji wao Yanga.

Ikumbukwe Siku chache mwenyej kapigwa faini kwa kosa la kupulizia sumu kweny gari la mgeni, pamoj na kukwapua kiasi cha fedha zilizokuwamo kwenye gari ilo, Alafu unafika unapewa usafiri na mwenyeji huyo huyo utakubali?

Yanga Jifunzeni kwa Simba acheni Figisu za kizamani na Za kishamba,, Chezeni mpira acheni kupulizia watu madawa na kuwaibia mali zao, mnalidhalilisha Taifa.

View attachment 2615458
Animal🦁, hawezi Kuwa rafiki wa mwananchi🤸🤸🤸🤸.Ataongeza mabaya kwa Kuwa mwananchi hayupo tayari kuona kondoo wake wakiporwa na animal🦁
 
Iwe Yanga wmeiba pesa na kupuliza sumu au lah, swali langu ni moja tu ni njia ipi iliyochukuliwa kubaini kuwa ni Yanga ndio walioiba na kupuliza gari la Rivers united? Kama mtu kuripoti tukio tu ndio kuchukuiwa hatua pasipo uchunguzi basi soka la Africa lina safari ndefu sana.
Kwann wamepigwa fine? Wageni walilalamika kabda ya.mechi kwamba gari yao ilivunjwa vioo wakaibiwa dola 5000 na kupuliziwa madawa kwenye vyumba vya kubadilishia.nguo
 
Iwe Yanga wmeiba pesa na kupuliza sumu au lah, swali langu ni moja tu ni njia ipi iliyochukuliwa kubaini kuwa ni Yanga ndio walioiba na kupuliza gari la Rivers united? Kama mtu kuripoti tukio tu ndio kuchukuiwa hatua pasipo uchunguzi basi soka la Africa lina safari ndefu sana.
Kaiulize kamati ya nidhamu ya kafu.
 
Vitu vingine mnawabebesha yanga mizigo isiyo kuwa Yao,Kwanza si walikataa kusema wanakuja lini hao,huo usafiri hawajepeleka yanga buana[emoji53]

Kile lakheri wawakilishi pekee wa Africa mashariki na kati kwenye mchezo wenu muhimuuu keshoo[emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172]
Wazee wa kujitoa fahamu.

Utopolo bhana.

Umepata na likes 8,mazuzu yanasapotiana ujinga.
 
Wakati matukio yanatokea hayakutokea chumbani yalitokea hadharani na mashahidi walikuwa makamishina wa mchezo kutoka Uganda.

Na kwa kukuelewesha vizuri haya mambo mara nyingi club haiendi front ni mashabiki ndio hufanya kupitia maelekezo ya club yoyote ile.
Kwa ile clip walionesha Rivers united s, hao unaowaita ni mashahidi ( makamisaa) hawakuwepo wakati tukio linafanyika bali viongozi wa Rivers united ndio wakawafuata hao maofisa kutoka CAF na kutoa taarifa na wao wakaenda ndani gari ili kuthibitisha.

Hizi tuhuma zimechukuliwa hatua ya maamuzi lakini napata wasiwasi kama kuna vitu vya msingi vimefanyika.
Gari lina cctv camera, kwanini wasiangalie aliyefanya hilo tukio na akakamatwa na kufungwa kwa kesi ya kutaka kuua watu kwa sumu? Kisha klabu nayo iadhibiwe pia kama kweli ni shabiki wa Yanga.

Kitu kingine kinachonishangaza ni kwamba inadaiwa gari limewekwa sumu ndani lakini watu wanaingia mara mbili mbili pasipo kuvaa barakoa. Kweli! Sumu ipo kwenye gari halafu hata hakuna anayechukua tahadhari. Sumu hiyo

Dereva wa hilo bus je alihojiwa? Na kwanini gari lipaki sehemu pasipo kufunga milango na madirisha? Dereva kachukuliwa hatua gani?

Namalizia kusema soka la Africa ni ngumu kupiga hatua kama uwezo wa kufiiria kichwani upo hivi.
 
Kwa ile clip walionesha Rivers united s, hao unaowaita ni mashahidi ( makamisaa) hawakuwepo wakati tukio linafanyika bali viongozi wa Rivers united ndio wakawafuata hao maofisa kutoka CAF na kutoa taarifa na wao wakaenda ndani gari ili kuthibitisha.

Hizi tuhuma zimechukuliwa hatua ya maamuzi lakini napata wasiwasi kama kuna vitu vya msingi vimefanyika.
Gari lina cctv camera, kwanini wasiangalie aliyefanya hilo tukio na akakamatwa na kufungwa kwa kesi ya kutaka kuua watu kwa sumu? Kisha klabu nayo iadhibiwe pia kama kweli ni shabiki wa Yanga.

Kitu kingine kinachonishangaza ni kwamba inadaiwa gari limewekwa sumu ndani lakini watu wanaingia mara mbili mbili pasipo kuvaa barakoa. Kweli! Sumu ipo kwenye gari halafu hata hakuna anayechukua tahadhari. Sumu hiyo

Dereva wa hilo bus je alihojiwa? Na kwanini gari lipaki sehemu pasipo kufunga milango na madirisha? Dereva kachukuliwa hatua gani?

Namalizia kusema soka la Africa ni ngumu kupiga hatua kama uwezo wa kufiiria kichwani upo hivi.
Soka la Africa limepiga hatua siku nyingi sana la Tanzania ndio halijapiga hatua na halitapiga hatua kushiriki CHAN tu ni kivumbi sembuse hizo hatua?

Hata hii Tanzania inayoonekana eti imepigika ka hatua kwenye soka la vilabu ni wageni 100% wamechangia wakiondoka tunabaki na nini?
 
Kukata rufaa ni ruksa
Iwe Yanga wmeiba pesa na kupuliza sumu au lah, swali langu ni moja tu ni njia ipi iliyochukuliwa kubaini kuwa ni Yanga ndio walioiba na kupuliza gari la Rivers united? Kama mtu kuripoti tukio tu ndio kuchukuiwa hatua pasipo uchunguzi basi soka la Africa lina safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom